Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mmetegwa mkategekaWewe kibwengo kwa nini sasa unaanza kumlilia Magufuli, huoni kama umechelewa?[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmetegwa mkategekaWewe kibwengo kwa nini sasa unaanza kumlilia Magufuli, huoni kama umechelewa?[emoji23]
Hakuna mtego wowote nyie nyumbu🤣Mmetegwa mkategeka
Na wale waliofanya sherehe ya kifo chake nao ni mali yao tangu linii?? Acheni kejeriii, duniani wote tunapitaa.Naandika hapa nikijua kabisa yakuwa familia ya marehemu inajiandaa Kwa kushrikiana na jeshi la polisi na chama tawala kumzuia MH Tundu Lissu atakapo zuri kabulini Kwa lengo la kumwamusha marehemu ahamke na kuangalia kinachoendelea nchini Tanzania.
MH Lissu naomba ikifika hapo kabulini mwambie mwendazake ahamke aone nchi inavyokwenda mrama.
Nchi inaenda mrama vuruvuru.
Mmmh uchizi mwingine ni mzigo kweli, fresh lakini endelea hivyo hivyo mpk wajukuu wako wakue waje wakufundishe bwege week
wa wauaji kama nyinyi
Shida yako wew akili huna watu wanakula wew unabinuka sarakasiAkienda, achukue na fimbo, akalichape lile kaburi akitoa lawama kwanini walivunja mkataba tukalipa bilioni 260 kwenye ile kesi mruma amejing'atang'ata. huyo jamaa alikuwa mzalendo ila kwa upande mwingine pia ametutia hasara sana.
Kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.Kwenye siasa sijui kuna nini. Mwanasiasa haeleweki.
Inawezekana Lissu kashajua kwamba lile shambulio lake ni "inside job".Nilishasema tangu mwanzo kuwa, kuna siku Lissu atamkumbuka JPM. Lissu Ni wakati wa kumtoa JPM kwenye mawazo yako kuhusu lile shambulizi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shida yako wew akili huna watu wanakula wew unabinuka sarakasi