zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Huyu ndio mwanasiasa na mwanaharakati wa kweli kabisa Tundu Antipas Lisu
Niko hapa kwa Ras Mtimanyongo ananichorea picha za hawa Mashujaa Magufuli na Tundu Lisu tukititumia ile picha waliyopiga pamoja msibani kwa dada yake Lisu
Nitaibandika pale Maskani Ukwamani
Nawatakia Sabato Njema [emoji1]
Ficha ujinga wako