Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Kama Tundu Lissu atakwenda Chato na kufika kwenye kaburi la JPM, kisha akapiga magoti nakutamka kwa kinywa chake kwa nia njema kabisa maneno haya"Mh. John Pombe Magufuli, nimekusamehe yote naomba nami unisamehe yote tuliyokoseana" kisha akaomba Baraka kupitia jina la JPM, atapata uungwaji mkono wa kiwango cha juu sana kuwahi kutokea.

*Zaidi ya 95% ya Magufulists kutoka CCM na nje ya CCM watamuunga mkono kwenye harakati zake zote na atapata mafanikio makubwa sana.
 
Ndio maana mnapewa kofia na tisheti mnaiba kura kwa ajili ya ccm, wakimu hamnazo kabisa..
Ukilipa mishahara au kusalimia nchi ndio uuze nchi?
Kikubwa hatulali njaa bas mshahara unatosha mkuu....Kwa mshahara wangu na ombaomba mtaani wanaiona siku🙏
 
Wamejaribu upepo wa utanganyika na uzanzibari wameshindwa, wamejaribu upepo wa bandari wameshindwa, sasa wanaona hebu wajaribu upepo wa marehemu; duh mambo ni mengi muda ni mchache[emoji23]

Kote huko wakijaribu mama yuko very calm ..wananchi wanatumika vibaya kisiasa bila wao kujua nia yao hasa ikoje .ila ukiona kwa umakin utajua kuna chama hakitaki amani tz kinataman tuwe kama sudan ili wao pia wanufaike kimadaraka akat nchi ikiwa kwenye machafuko
 
Kote huko wakijaribu mama yuko very calm ..wananchi wanatumika vibaya kisiasa bila wao kujua nia yao hasa ikoje .ila ukiona kwa umakin utajua kuna chama hakitaki amani tz kinataman tuwe kama sudan ili wao pia wanufaike kimadaraka akat nchi ikiwa kwenye machafuko
Naina majizi mnafarijiana.
Mtapelekewa moto hadi mchoke
 
Kweli Lissu kama mtu aliyehai anawajibu wa kutubu hasa vibe aliloonesha kwenye msiba wa JPM. Kisha hata Mimi nitamuunga mkono.
 
Naina majizi mnafarijiana.
Mtapelekewa moto hadi mchoke

Cna chama mkuu siasa ni unafki mtupu ila wew kama una kadi ya chadema bhc endelea kua na imani yako ila jua maendeleo ya nchi hayaletwi na chama
 
Nilikua nasema kila siku Lisu hajui anashambuliwa na nani? Kwa kadili nilivyoona Mimi alishambuliwa na makundi mawili, kundi la Kwanza ni wafitini wa JPM ili kumpaka matope ionekane amemshambulia ili kumnyamazisha. Kundi la pili ni maadui zake yeye mwenyewe Lisu ambalo lingetumia ukosoaji wa Lisu Kwa JPM ionekane ni JPM aliyetekeleza azma Ile. Sasa Kwa bahati mbaya siasa ni mchezo wa propaganda mpaka uje kugundua muda unakua ushaenda.
Mfano Mzee Dr. Salim Ahmed Salim mwaka 2005 alibebeshwa dhambi ya kumuua Karume na chama chake cha Hizbu, wakati akijitahidi kujisafisha wenzake wakawa wanapiga kampeni. Hata aliposema wakati Karume anauwawa hakuwepo nchini bado walisema kwamba vijana wake pia wangeweza kupokea maagizo yake yeye akiwa mbali.
 
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya.

"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba.

"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari, kuna nini, kuna maslahi yapi ya ziada, wameacha ilani yao wameamua wafe na Mwenyekiti wao!

"Nani kama Mama, Mama gani anauza mali za familia? Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua? Mama gani anakula chakula cha watoto wake?

"Kama ni mwizi tutamuita mwizi, amegawa bandari zetu kwa Waarabu, atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba."

View attachment 2701509
Pia soma: Tundu Lissu: Hakuna Rais kwenye nchi hii amewahi kutufanyia kitu mbaya kama Rais Samia
Mmmh
Wanasiasa aisee.

Mungu atusamehe kwa kweli
 
Huyu ndio mwanasiasa na mwanaharakati wa kweli kabisa Tundu Antipas Lisu

Niko hapa kwa Ras Mtimanyongo ananichorea picha za hawa Mashujaa Magufuli na Tundu Lisu tukititumia ile picha waliyopiga pamoja msibani kwa dada yake Lisu

Nitaibandika pale Maskani Ukwamani

Nawatakia Sabato Njema 😄
 
Back
Top Bottom