Ignored!Una uhakika gani samia kaiba?kwa hayo maneno ya lisu bdo ujaona siasa ni unafki
Leo anamuona magu shujaa akati jana alimtuhumu kwa wiz na kutka kumuua
Mtu kama huyo leo anatoa kauli ingine afu unamuamin ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ignored!Una uhakika gani samia kaiba?kwa hayo maneno ya lisu bdo ujaona siasa ni unafki
Leo anamuona magu shujaa akati jana alimtuhumu kwa wiz na kutka kumuua
Mtu kama huyo leo anatoa kauli ingine afu unamuamin ?
Jirekebishe, kila mmoja anakwambia wewe fala
IgnoredKasema kweli nyie c mnafata kila mwanasiasa wenu anachofanya na kusema..
Hahahaaa!Unafiki ni kipaji chao.View attachment 2701543View attachment 2701545
as long as aliua watu ili to attain his goals, hafai kabisa!
NOTE: Lisu hampi sifa magufuli, bali anajaribu kulinganisha WAOVU. Kuna mwovu mwenye nafuu. Mwovu ambaye anaua hafai, mwovu asiyeua naye ana nafuu yake. Mwovu anayeiba kidogo (Magufuli) ana sifa zake.... Samia ameiba JUMLA
Sasa Lissu yeye ndio miongoni mwa waliopotia mateso na Utawala wa Magufuli.
Anaona kuna afadhali ya Magufuli dhidi ya Samia katika Uongozi.
Hapo ulitakiwa ujipime tofauti yako wewe usie kubaliana na Lissu pia kabla ya kumpinga.
Hoja kubwa ya Lissu kua upande wa Magufuli katika hili ni Nchi hivyo Magufuli ana afadhali kubwa kuliko Samia.
Hawe alikua Dikteta au alipeleka Miradi kwa ubaguzi na mingine Mikubwa kwao au vyovyote lakini alitanguliza maslai ya Nchi mbele.
Kuna utofauti wa Lissu na Wanasiasa wengine pia na atakua ni Kiongozi wa aina yake kuwai kutokea.
Leo Lissu anatufunza kusamehe Mtu sio kwa maslai yake binafsi bali kwa maslai ya Nchi.
Lissu anaweka mateso ya kuuguza madonda aliyo pitia kipindi cha Magufuli Pembeni na anaungana naye kwa sababu ya kutetea Nchi.
Lissu anaweza kua anaumizwa na Atima ya waliotekwa na kupotezwa walio pata mateso na vilema lakini linapo kuja suhala la Nchi anatetea Nchi.
Hii ndio sifa ya Lissu mtafute katika kutafuta na kuchunguza Ukweli juu ya Atima ya wachimbaji wadogo wakaazi karibu na migodi ya Nyamongo na Buzwagi dhidi ya Makapuni ya Kigeni.
Alijitoa kwa dhati kutafuta Ukweli na aliweka Ukweli wazi.
Jambo lililo mpa heshima kubwa kwa jamii ya watu wa kanda ya ziwa na Watanzania.
Na ndio chimbuko lake la utetezi wa Rasilimali za Nchi na Nchi.
Hivyo katika maslai binafsi na ya wote Lissu atasimama katika maslai ya wote.
Katika hili jifunze kua Lissu anasema Nchi kwanza na hivyo Magufuli ana makosa.
Stupid sufiani. kwa vile alikwenda nairobi, akiiba tusimseme? akili matope bado inasambaaTweet ya suphian
kaka yangu
@TunduALissu
unamkejeli Rais
@SuluhuSamia
eti hatoshi umesahau ndiye:
1)Kiongozi wa juu pekee aliyekuja kukufariji Kenya na Ubeligiji
2)Kulipa mishahara, pensions za Ubunge
3)Kupatia passport4)Kulipia ndege kutoka Ubeligiji
6)Kufuta watu wasiojulikana
JITAFAKARI!!
Tweet ya suphian
kaka yangu
@TunduALissu
unamkejeli Rais
@SuluhuSamia
eti hatoshi umesahau ndiye:
1)Kiongozi wa juu pekee aliyekuja kukufariji Kenya na Ubeligiji
2)Kulipa mishahara, pensions za Ubunge
3)Kupatia passport4)Kulipia ndege kutoka Ubeligiji
6)Kufuta watu wasiojulikana
JITAFAKARI!!
Lissu hana kinyongoMakamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesikikika akisema atakwenda Chato kufanya mikutano wa kisiasa lakini pia atafika nyumbani kwa hayati Magufuli na kuona alipozikwa na hata kusali hapo.
Lissu anakwenda kuhiji kwenye kaburi la hasimu wake mkubwa zaidi katika maisha yake ya kisiasa je, anakwenda kumsamehe?
Lissu siku za karibuni amesikika akimtaja Magufuli kwa lugha “rafiki “ na inayoashiria kuachilia moyo na kusahau yaliyopita. Jambo hili ni jema sana na linaonesha ukomavu mkubwa sana wa Lissu kisiasa na kiroho!