Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Magufuli alikua ni sawa na MAJI.

Kuna namna tu utayatumia !!.


Niliandika humu, Mwaka 2025, ili Wananchi wakukubali ni LAZIMA ULITUMIE VEMA JINA LA MAGUFULI.
Na huku analitumia jina la Magufuni kinafiki kutafuta mtaji wa kisiasa kwa kuona kule kwa "mbulla" "YESU na Maria" hatoboi.
 
..Lissu alisema Magufuli alijaribu kumuua.
Lisu ktk mahojiano na Dar 24, alisema aliwaona vijana wawili walioopen FIRE, anakadiria umri wao hauzidi miaka40.

HOJA hapa ni UZALENDO wa Magu,

Mapungufu yake hayarekebishiki sababu ameshalala, ndomana Lissu amekiri mema yake.
 
Niliwambia zamani CHADEMA

Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha...
Hapana. Kuna mambo aliyafanya visivyo.

Hayo mambo yalichafua sana taswira ambayo sisi sote wakati huu tungekuwa tunamlilia kama wengi wanavyolia.

Hata hivyo, tumekwisha kubali, tuyaweke pembeni hayo yasiyofaa, tutazame alichokisimamia kwa manufaa ya nchi yetu sote.

Hiyo ndiyo sababu tunayoungana nawe, na wengine sasa hivi kumlilia juu yake, hasa tukiona yanayoendelea toka kwa waliokuwa wasaidizi wake walivyomgeuka na kufanya kinyume kabisa na alivyotaka yeye, kulikomboa taifa hili.
 
Lema mbona mapema sana alishasema[emoji1787]
Ilikuwa kuhusu umeme kukatika, akasema akina Makamba wasimsingizie Magufuli upumbavu wao wa kushindwa simamia[emoji1787]

Maana walianza kusema mitambo haikufanyiwa service miaka sijui mingapi aisee,hii nchi.
Hawa wote watakuja kutubu chatle watanikuta
 
Lisu ktk mahojiano na Dar 24, alisema aliwaona vijana wawili walioopen FIRE, anakadiria umri wao hauzidi miaka40.

HOJA hapa ni UZALENDO wa Magu,

Mapungufu yake hayarekebishiki sababu ameshalala, ndomana Lissu amekiri mema yake.
Nina imani, kuna siku hao vijana watajitokeza mbele, hata kama siyo kwa watu wengine; watakwenda kwa Lissu mwenyewe kujitambulisha.
 
Aache unafiki huyu jamaa, asitumie jina la magufu kupata uugwaji mkono, amwache magufuli apumzike, alimpinga na kumtukana hadharani Leo analeta unafiki. Hapo amechemka. Kweli upinzani hatuna, ndio maana magufuli hakutaka mbwatuke, kwasasabu hamna hoja.
 
Nina imani, kuna siku hao vijana watajitokeza mbele, hata kama siyo kwa watu wengine; watakwenda kwa Lissu mwenyewe kujitambulisha.
Sina HAKIKA kama wako hai Hadi sasa.

Kufail mission za aina hiyo ni hatari sana.
 
Lisu ktk mahojiano na Dar 24, alisema aliwaona vijana wawili walioopen FIRE, anakadiria umri wao hauzidi miaka40.

HOJA hapa ni UZALENDO wa Magu,

Mapungufu yake hayarekebishiki sababu ameshalala, ndomana Lissu amekiri mema yake.

..amekiri na UOVU wa Magufuli.

..Lissu ni msemakweli.
 
Niliwambia zamani CHADEMA

Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.

Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO..
Lisu hana credibility ya kutumia jina la magufuli, Tena nashauri wanachato, akija huyu jamaa pigeni mawe mnafiki mkubwa huyu.

Anatumia jina la magufuli kuungwa mkono, wakati alimkashifu na kumtukana hadharani. Ni kweli serikali ya sasa inafanya madudu lakini amwache magufuli apumzike, aache kumnafikia.

Na hatafauli huo MPANGO wake, anatuona watanzania hatuna akili, aliemshauri hiyo mbinu amemdanganya.
 
Lisu hana credibility ya kutumia jina la magufuli, Tena nashauri wanachato, akija huyu jamaa pigeni mawe mnafiki mkubwa huyu. Anatumia jina la magufuli kuungwa mkono...
Anajisahihisha,

Kauli ya Lissu, imeziba mpasuko uloasisiwa na wahuni wa kutugawa alipoingia tu Sa100.

Katika Issues za kitaifa, Tanzania ni priority no 2 baada ya Mungu.
 
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya...
Akienda, achukue na fimbo, akalichape lile kaburi akitoa lawama kwanini walivunja mkataba tukalipa bilioni 260 kwenye ile kesi mruma amejing'atang'ata. huyo jamaa alikuwa mzalendo ila kwa upande mwingine pia ametutia hasara sana.
 
Kwahy kumbe utawala bora ni tofauti na kulinda rasilimali za taifa.? Bc sawa, chadema akili zenu mnazijua wnyw na sasa hivi mdogo mdogo maji yanajitenga na mafuta
Kuwa mshabiki wa chama unapaswa ujitoe akili dah ndugu yangu kazi ni kubwa sana kwa vichwa kama hawa
 
..amekiri na UOVU wa Magufuli.

..Lissu ni msemakweli.
Lissu Aungwe mkono.

Tukiipata watu Wakweli aina ya Lissu, Slaa, Mch Mwamakula, Mbarikiwa nk nk, nk

Taifa litaenda Kasi sana kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom