Na huku analitumia jina la Magufuni kinafiki kutafuta mtaji wa kisiasa kwa kuona kule kwa "mbulla" "YESU na Maria" hatoboi.Magufuli alikua ni sawa na MAJI.
Kuna namna tu utayatumia !!.
Niliandika humu, Mwaka 2025, ili Wananchi wakukubali ni LAZIMA ULITUMIE VEMA JINA LA MAGUFULI.