Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Huyu chiba ana mambo ya kipuuzi sana.Ukiwa hai tunakusema kwa Mabaya ili ujirekebishe, ukifa hatuna budi kusema mazuri yako watu waya enzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu chiba ana mambo ya kipuuzi sana.Ukiwa hai tunakusema kwa Mabaya ili ujirekebishe, ukifa hatuna budi kusema mazuri yako watu waya enzi
Huyu jamaa yenu ana ule ugonjwa wa kutenda kwanza halafu baadaye ndiyo anafikiria kwamba alikosea. Hata Mhe. Rais Samia atakuja kumlilia kesho. Lissu hana nidhamu ya ubongo na ulimi; ndiyo maana alidiriki hadi kumtukana Mwalimu ambaye ni Baba wa Taifa, mwanamamujumui makini wa Afrika, mwanazuoni na mtu anayeheshimiwa duniani, ikabidi Mzee Mtei aombe radhi. Dk. Magufuli alimtukanaa weweee....! #Lissu hatabiriki akili zake 🙏🙏🙏"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya" Tundu Lissu
"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba" Tundu Lissu
"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari,kuna nini,kuna maslahi yapi ya ziada,wameacha ilani yao Wameamua wafe na Mwenyekiti wao" Tundu Lissu
"Nani kama Mama,mama gani anauza Mali za familia,Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua,Mama gani anakula chakula cha watoto wake" Tundu Lissu
"Kama ni mwizi tutamuita mwizi,amegawa bandari zetu kwa waarabu,atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba " Tundu Lissu
View attachment 2701509
Kwenye siasa sijui kuna nini. Mwanasiasa haeleweki.
Unamuelewesha Lissu au mwanzisha thread?We kilaza sijui unamuelewa lisu? Point yake iko kwenye kugawa bure mali za nchi basi, kuna seheme Lisu aliwahi tamka Magu ni mwizi? Point yake iko hapo
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya...
Hata mm Sina chama chochote!!!wewe hujamwelewa Lisu. Lisu is very objective, ukweli anausema kama ulivyo na uongo anausema kama ulivyo. Mimi Magufuli nilikuwa namuunga mkono at the beggining...
Shetani anaachaje kutukanwa?Pumbavu kabisa huyu. Yeye si ndiye alikuwa anamtukana na kumuita kila aina ya maneno. Sasa ameona hana tija wala kukubalika kwenye jamii anajitafutizia kiki kupitia JPM.
Same to me, dhalimu kwangu amegoma kuniingia kabisa. Hata hizi sifa za Lissu namuona hana maana kabisa.wewe hujamwelewa Lisu. Lisu is very objective, ukweli anausema kama ulivyo na uongo anausema kama ulivyo. Mimi Magufuli nilikuwa namuunga mkono at the beggining ....
Kama kuna mwehu kumzidi Lissu, huyo atakuwa siyo mwingine bali 'FaizaFox'Mwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.
Bandari zetu zirudi kwanza. Uchama hautusaidii.Wewe akili ndogo ....soma Nje ya box
Usifuate upepo fuata mkate utaelewa. Ni suala la mkate wa kila siku.Ukifuata upepo hutaelewa.
Huyu wa mpito HATOGOMBEA!!Kwahiyo 2025 unasemaje twende na nani samia au lissu?
Wa mpito nani sa100?Huyu wa mpito HATOGOMBEA!!
Sahihi, umenena vyema!!!!Wa mpito nani sa100?
Niliwambia zamani CHADEMA
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.
Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai🙏🙏🙏🙏????
Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,
Yuko Mbinguni.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen.