The Shah of Tanganyika
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 602
- 1,572
Mpuuzi ni wewe kuanzia mababu mpaka vitukuu vyakoHuyo chiba amekuwa mpuuzi wa kupindukia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi ni wewe kuanzia mababu mpaka vitukuu vyakoHuyo chiba amekuwa mpuuzi wa kupindukia.
Mbona wakina Nape wa CCM na Kinana walimtukana Magu na Kinana kwa sasa ni Kaimu mwenyekiti? Lisu point yake iko kwenye kugawa bure mali za UmmaHuyu si alikuwa anabeza watu kuaga mwili
Akasema marehemu anazungushwa sana nk ujinga.
Hakujua kama kutakuwa Kuna kumkumbula,na hataonekana tena kwenye sura ya Dunia.
Sasa naye ameshamkumbuka kama sisi tu team Dikteta.
Upuuzi mtupu.Mpuuzi ni wewe kuanzia mababu mpaka vitukuu vyako
Vichaa mmeamkaAnadhani atamtoa Rais samia kwenye reli kwa kutumia kete ya jina la mtu aliyemtukana na kumdhihaki kwa kila lugha achilia mbali kumtuhumu kutaka kumuuwa? Kalagabahoo
Nipe videoJamaa huyu kiboko, kama siasa zenyewe ndio hizo bora tuendelee kushabikia mipira tu, siasa za kutukana viongozi?
Sio lissu chademalisu ni mgonjwa wa akili nafikiri anatumia vileo
Ungeweka video basiJamaa huyu kiboko, kama siasa zenyewe ndio hizo bora tuendelee kushabikia mipira tu, siasa za kutukana viongozi?
hajamlilia magufuli, this is a wrong interpretation. naweka msikilize..."Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya" Tundu Lissu
"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba" Tundu Lissu
"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari,kuna nini,kuna maslahi yapi ya ziada,wameacha ilani yao Wameamua wafe na Mwenyekiti wao" Tundu Lissu
"Nani kama Mama,mama gani anauza Mali za familia,Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua,Mama gani anakula chakula cha watoto wake" Tundu Lissu
"Kama ni mwizi tutamuita mwizi,amegawa bandari zetu kwa waarabu,atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba " Tundu Lissu
View attachment 2701509
Jinga limeibika na uziJamaa huyu kiboko, kama siasa zenyewe ndio hizo bora tuendelee kushabikia mipira tu, siasa za kutukana viongozi?
Majinga mnadhani watanzania wamelala usingizi kama nyie?Ndio siass za chadema Waziri mkuu wao atakuwa mdude