Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Taahira mama yako aliyekubali nizae naye akuzae wewe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mataahira bana Yani yanamezeshwa maneno afu yanayatema kama yalivyo. Lini ulimuona huyo Magufuli ameua mtu, au alitaka kukuua ulipokua tumboni mwa mamako?

Mngeenda kumshitaki basi ka mlikua na uhakika. Takataka ww. Haya huyo alie mchukiiiiiia saaaaaaana Magufuli na anae dai alipigwa risasi na Magufuli, aliemnyima anachodai ni stahiki zake leo hii amemmisi kinyama John hadi anatamani kwenda makha ya chato kwenda kuhiji ktk kaburi la nabii ambae neno lake la mtanikumbuka limeyimizwa na lissu.

Ambae mlimsingizia kaiba trillion 1.5 leo hii lissu anasema Magufuli hakuiba wala kuwah kua mwizi. Unadhani anaesema hivyo ni lissu? Hapana bali Ni roho mtakatifu amemwingia lissu na Sasa lissu anaona ukweli, but tooo late!!!!
 
Upuuzi mtupu.
Ona kichomi kingine
IMG-20230728-WA0018.jpg
 
Lakini si walisema Magufuli amekufa sasahivi wanapumua[emoji23]
Wana uhuru wa kuongea[emoji1787]

Kipi bora?
Dikteta aliyetufunga midomo lakini alikuwa mzalendo ama Hawa wanaotuacha tunabwabwaja mitandaoni halafu nchi inatumbukia Shimoni[emoji1787]
 
Akija kumuamsha jpm atanikuta hapo maana mimi ndo mlizi hapo kazi yangu ni kusafisha lile kaburi.

Nilijua siku itafika kila kiumbe atamlilia magufuli..
Lema mbona mapema sana alishasema[emoji1787]
Ilikuwa kuhusu umeme kukatika, akasema akina Makamba wasimsingizie Magufuli upumbavu wao wa kushindwa simamia[emoji1787]

Maana walianza kusema mitambo haikufanyiwa service miaka sijui mingapi aisee,hii nchi.
 
#MkutanoOkoaBandariZetuBukoba.

"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya...
Watu weeeeeeeeeeeee walete walete haoooooooooo shika haoooooooooo kamata haoooooooooo


Rest In Peace Comrade
 
#MkutanoOkoaBandariZetuBukoba.

"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya...
Keshachanganyikiwa,kwani hii Nchi ni ya Magufuli?
 
Watu tuliyaona haya kitambo, sisi haitushangazi kuona watu wote wenye mapenzi mema na Tanzania, lazima wakiri kuwa, njia zote za JPM kuiongoza nchi, zilikuwa sawa!

Wapumbavu tu ambao wataendelea kubisha
 
Back
Top Bottom