Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
huyu mama hana papara hata kidogo ni msikivu labda nikuibie siri kidogo yeye ndie anaeupiga mwingi peke yake nchi hiiAna umakini gani mkuu? Just be sincere aisee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu mama hana papara hata kidogo ni msikivu labda nikuibie siri kidogo yeye ndie anaeupiga mwingi peke yake nchi hiiAna umakini gani mkuu? Just be sincere aisee!
Tunaongelea UZALENDO wa Magu hapa,Who ordered the shooting? Nabishana na watoto wadogo. It is better I block you
Nakuelewa,Usi generalise hii issue for no reason, Lissu amemzungumzia Magufuli specifically kwenye angle ya kulinda rasilimali za taifa, ndio amemsifia, lakini kama angegusa maeneo mengine, kama utawala bora na haki za binadamu, naamini story ingekuwa tofauti hapa, hata nawe ungekosa chakujitetea.
Tuliza munkari, just be specific.
Au anafanya Siasa?Lissu ameanza kumkumbuka Magufuli kwa mazuri; ha ha ha🤣
Huu ujinga wenu wa kulazimisha kuingiza wamarekani kwenye hii issue, ili kuwafichia madhambi waarabu muwapendao hauna maana.Usalama Wa nchi Yetu umevurugwa.
Bandari imegawiwa mabepari Wa kiarabu na kiamerika.
Dubai ni chambo tuu lakini Nyuma Yao wapo Wamarekani Kwa ajili ya kuiba Madini Yetu . Kudhibiti ndoto za Urusi na China kuteka Soko na rasilimali za Afrika.
Mama ameinguzwa chaka na kuhatarisha usalama Wa nchi. Hawa miaka yote ni wafadhili Wa ugaidi na magaidi Duniani kote wakishirikiana na Wamarekani . Ndio maana Suala la bandari limekuja Kwa kutumia fedha na Kununua watu na propaganda za Udini.
Kila MAHALI Afrika penye rasilimali kuna vurugu zinazohusisha Udini na ukabila . Wanifaikaji Wa vurugu hizo ni watawala na Wezi Wanaoitwa wawekezaji.
Watawala nchi inapokosa uelekeo wanakimbilia Huko wanakotoroshea Mali na fedha za umma.
Watanganyika wasipoamka nchi itauzwa na usalama Wa nchi Utakua tegemezi . Hapo ndipo ndoto za Wamarekani kujenga military base pale kigamboni itakapo timia Kwa sababu tu ya mikataba ya kimangungo .
Rwanda itatumika kudhibiti utajiri Wa Kongo na Tanzania kupitia bandari zetu na viwanja vyetu vya ndege.
Tuwekeze kwingine lakini sio bandari iliyopo Mita Chache Toka kwenye Kambi zetu za Majeshi Yetu ya JKT,JWTZ,Magereza na Polisi.
Tusikubaliane na Huu mpango Wa kuiteka nchi na wao wakimbile kuishi Dubai na familia zao. Sisi tunayategemea majeshi Yetu na hatuna pa kukimbilia.
Wao wameshapewa fedha za kuishi popote Duniani penye Amani na Kula bata.
MAGU NI SHETANI NA HUKU LILIKO LINAUNGUA MATAKO. He killed a lot of peopleMshauri asiende kutubu CHATO!!!
Leo ni siku mbaya sana kwako, Rudi kwenye thread zako zote kumtusi Magu uombe radhi!!!
Sijui anafanya nini.Au anafanya Siasa?
Kwahy kumbe utawala bora ni tofauti na kulinda rasilimali za taifa.? Bc sawa, chadema akili zenu mnazijua wnyw na sasa hivi mdogo mdogo maji yanajitenga na mafutaUsi generalise hii issue for no reason, Lissu amemzungumzia Magufuli specifically kwenye angle ya kulinda rasilimali za taifa, ndio amemsifia, lakini kama angegusa maeneo mengine, kama utawala bora na haki za binadamu, naamini story ingekuwa tofauti hapa, hata nawe ungekosa chakujitetea.
Tuliza munkari, just be specific.
Ikiwa juna lake linasaidia kuwazuga Misukule yake ili kura zipatikane tutalitumia tu.Hata Hawa Wahuni wauza Bandari, kuanzia mwaka 2024, wataanza kulitaka jina la Magufuli.
Exactly, kuna mambo ya magufuli hayakubaliki, lkn kwa wizi magufuli aliiba kidogo. kwa mfano, kwanini Kampuni ya mayanga construction ilipewa tenda za serikali bila kufuata pendering process...nani alipitisha ujenzi wa chato airport, Chato referl hospita , soko, shule etc etc.Lissu Kuna mambo ya JPM hayakubli,ilo ni kawaida,ila kwenye vitu vya Msingi ni lazima tuwe wakweli
Ni sawa na wazazi wako, ht wakosee vp watabaki kuwa wazazi wako 😂.Ya Nyerere siyajui sana lwa sababu zama zake sikuwa na hizo akili, ila kwa uzalendo sidhani kama kuna kiongozi anamfikia JPM.
Imagine mtu alitandikwa 30+risasi tena kipindi cha Magu lakini anakiri namna hii, mimi ni nani.
Yes, na kuna wajinga anawapata kwa Kiki hiyo hiyoPumbavu kabisa huyu. Yeye si ndiye alikuwa anamtukana na kumuita kila aina ya maneno. Sasa ameona hana tija wala kukubalika kwenye jamii anajitafutizia kiki kupitia JPM.
mimi nina wtu kama 150 ambao nimewablock, maana ni useless kubishana nao hapa JFUsi generalise hii issue for no reason, Lissu amemzungumzia Magufuli specifically kwenye angle ya kulinda rasilimali za taifa, ndio amemsifia, lakini kama angegusa maeneo mengine, kama utawala bora na haki za binadamu, naamini story ingekuwa tofauti hapa, hata nawe ungekosa chakujitetea.
Tuliza munkari, just be specific.