Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

exactly this is what Lisu meant, not otherwise. Aliiba lakini siyo kama samia na genge lake. Kuna tenda nyingi zilifanywa na Mayanga construction Company ambayo ilikuwa kampuni yake, ALIIBA lakini siyo kama hii ya samia Mamndenyi
Hivi ukitoa tenda kampuni yako inachukua ikafanya kazi Kwa kiwango ni wizi? Wapumbavu nchi hii mtaisha lini?
 
Hahahaaa!Unafiki ni kipaji chao.
JamiiForums-72271314.jpg
JamiiForums-2089014366.jpg
 
Back
Top Bottom