Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ohoo babu ukalale upone🤣Unatapatapa kama chiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoo babu ukalale upone🤣Unatapatapa kama chiba.
Punguza upuuzi.Ohoo babu ukalale upone🤣
Mpuuzi ni muuza bandariPunguza upuuzi.
exactly this is what Lisu meant, not otherwise. Aliiba lakini siyo kama samia na genge lake. Kuna tenda nyingi zilifanywa na Mayanga construction Company ambayo ilikuwa kampuni yake, ALIIBA lakini siyo kama hii ya samia Mamndenyialikuwa nafuu kwenye wizi!
Kwa nini unawashwa?Mpuuzi ni muuza bandari
we fala kweliNiliwambia zamani CDM,
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.
Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai🙏🙏🙏🙏????
Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,
Yuko Mbinguni.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen.
Peleke upumbavu wako kuzimu...usinizoeeKwa nini unawashwa?
Unabishana na mm au Lissu aliyesema ktk video anaenda kutubu na kuomba msamaha chato?We lafa kweli akatubu ,umemuelewa anasema ...kwenye hili .hakuna anayebisha kuwa jamaa miongoni mwa wana CCM alikuwa nafuu kwenye wizi!
Ila hakufaa kuwa Kiongozi wa juu...he was very poor,poor indeed,in managerial and Leadership Skills!
Sasa hebu binuka nikubamize.Peleke upumbavu wako kuzimu...usinizoee
Huu ni wakati wa nyumbu wote kubadili uelekeo sababu kiongozi wa nyumbu Serengeti ametangaza Rasmi kwenda kutubu CHATO!!we fala kweli
Karata ya Magufuli itawafikisha Mbali. Mslogwe kumtukana#MkutanoOkoaBandariZetuBukoba.
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya" Tundu Lissu
"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba" Tundu Lissu
"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari,kuna nini,kuna maslahi yapi ya ziada,wameacha ilani yao Wameamua wafe na Mwenyekiti wao" Tundu Lissu
"Nani kama Mama,mama gani anauza Mali za familia,Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua,Mama gani anakula chakula cha watoto wake" Tundu Lissu
"Kama ni mwizi tutamuita mwizi,amegawa bandari zetu kwa waarabu,atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba " Tundu Lissu
Huyu si alikuwa anabeza watu kuaga mwili#MkutanoOkoaBandariZetuBukoba.
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya" Tundu Lissu
"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba" Tundu Lissu
"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari,kuna nini,kuna maslahi yapi ya ziada,wameacha ilani yao Wameamua wafe na Mwenyekiti wao" Tundu Lissu
"Nani kama Mama,mama gani anauza Mali za familia,Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua,Mama gani anakula chakula cha watoto wake" Tundu Lissu
"Kama ni mwizi tutamuita mwizi,amegawa bandari zetu kwa waarabu,atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba " Tundu Lissu
Alisikika bwabwa Moja akisemaWe lafa kweli akatubu ,umemuelewa anasema ...kwenye hili .hakuna anayebisha kuwa jamaa miongoni mwa wana CCM alikuwa nafuu kwenye wizi!
Ila hakufaa kuwa Kiongozi wa juu...he was very poor,poor indeed,in managerial and Leadership Skills!
BUSH BIN LADEN ni Yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lissu ameanza kumkumbuka Magufuli kwa mazuri; ha ha ha[emoji1787]
Jirekebishe, kila mmoja anakwambia wewe falaHuu ni wakati wa nyumbu wote kubadili uelekeo sababu kiongozi wa nyumbu Serengeti ametangaza Rasmi kwenda kutubu CHATO!!
Lissu ameanza kumkumbuka Magufuli kwa mazuri; ha ha ha🤣
Wewe akili ndogo ....soma Nje ya boxNiliwambia zamani CDM,
Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.
Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai🙏🙏🙏🙏????
Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,
Yuko Mbinguni.
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.