Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Lissu anaenda na miye nitaenda,#MkutanoOkoaBandariZetuBukoba.
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya" Tundu Lissu
"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba" Tundu Lissu
"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari,kuna nini,kuna maslahi yapi ya ziada,wameacha ilani yao Wameamua wafe na Mwenyekiti wao" Tundu Lissu
"Nani kama Mama,mama gani anauza Mali za familia,Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua,Mama gani anakula chakula cha watoto wake" Tundu Lissu
"Kama ni mwizi tutamuita mwizi,amegawa bandari zetu kwa waarabu,atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba " Tundu Lissu
Lissu anajua kuwa waliompiga Risasi wapo hai,Rubbish, Lisu siyo kuwa anamuunga mkono magufuli, NO, A BIG NO! Ila anasema hakuiba na kama aliiba siyo kiwango cha kuuza bandari zetu. lakini he was instrumental katika kumpiga Risasi Lisu!
Lissu Kuna mambo ya JPM hayakubli,ilo ni kawaida,ila kwenye vitu vya Msingi ni lazima tuwe wakweliPumbavu kabisa huyu. Yeye si ndiye alikuwa anamtukana na kumuita kila aina ya maneno. Sasa ameona hana tija wala kukubalika kwenye jamii anajitafutizia kiki kupitia JPM.
Nitaenda naye ChatoYa Nyerere siyajui sana lwa sababu zama zake sikuwa na hizo akili, ila kwa uzalendo sidhani kama kuna kiongozi anamfikia JPM.
Imagine mtu alitandikwa 30+risasi tena kipindi cha Magu lakini anakiri namna hii, mimi ni nani.
Who ordered the shooting? Nabishana na watoto wadogo. It is better I block youLissu anajua kuwa waliompiga Risasi wapo hai,
Mbona uelewa wako ndogo hivi??
Dawa yao ni kuwakalia kimya na kuona jinsi wanavyotapatapa.MAMA yuko makini sana sema kuna watu wameingiza chokochoko za kuligawa hili taifa kibara na pwani
mwehu ni wewe na mamako na viongoz wenu huko ccm mazezeta mauza bandar.Mwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.
Tell us how did you come to conclude that Magufuli ordered that shooting and not Mbowe?Who ordered the shooting? Nabishana na watoto wadogo. It is better I block you
Usalama Wa nchi Yetu umevurugwa.#MkutanoOkoaBandariZetuBukoba.
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya" Tundu Lissu
"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba" Tundu Lissu
"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari,kuna nini,kuna maslahi yapi ya ziada,wameacha ilani yao Wameamua wafe na Mwenyekiti wao" Tundu Lissu
"Nani kama Mama,mama gani anauza Mali za familia,Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua,Mama gani anakula chakula cha watoto wake" Tundu Lissu
"Kama ni mwizi tutamuita mwizi,amegawa bandari zetu kwa waarabu,atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba " Tundu Lissu
unambiwa chadema kwa sasa wanapitia mapigo saba ya farao...kila wanalogusa watanzania wanawashitukia ni amnazo sasa wanakwenda kutubu chatoDawa yao ni kuwakalia kimya na kuona jinsi wanavyotapatapa.
mpumbavu ni mamako na viongoz wenu mazezeta mauza bandar.Pumbavu kabisa huyu. Yeye si ndiye alikuwa anamtukana na kumuita kila aina ya maneno. Sasa ameona hana tija wala kukubalika kwenye jamii anajitafutizia kiki kupitia JPM.
Mshauri asiende kutubu CHATO!!!Who ordered the shooting? Nabishana na watoto wadogo. It is better I block you
Ana umakini gani mkuu? Just be sincere aisee!MAMA yuko makini sana sema kuna watu wameingiza chokochoko za kuligawa hili taifa kibara na pwani
Usi generalise hii issue for no reason, Lissu amemzungumzia Magufuli specifically kwenye angle ya kulinda rasilimali za taifa, ndio amemsifia, lakini kama angegusa maeneo mengine, kama utawala bora na haki za binadamu, naamini story ingekuwa tofauti hapa, hata nawe ungekosa chakujitetea.Mshauri asiende kutubu CHATO!!!
Leo ni siku mbaya sana kwako, Rudi kwenye thread zako zote kumtusi Magu uombe radhi!!!