Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Niliwambia zamani CDM,

Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.

Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai🙏🙏🙏🙏????

Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,

Yuko Mbinguni.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
Rubbish, Lisu siyo kuwa anamuunga mkono magufuli, NO, A BIG NO! Ila anasema hakuiba na kama aliiba siyo kiwango cha kuuza bandari zetu. lakini he was instrumental katika kumpiga Risasi Lisu!
 
Niliwambia zamani CDM,

Kumtukana Magu live jukwaani ni LAZIMA uwe umelewa kama kamanda Fulani pale furahisha.

Magufuli aliipenda Nchi hii na alikuwa MZALENDO 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Lissu kwann hukumkubali Akali akiwa hai🙏🙏🙏🙏????

Nenda Chato ukatubu, ingawa TOBA yako Si Rahisi kusikika sababu Nabii Magu, hayupo kaburini,

Yuko Mbinguni.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
We lafa kweli akatubu ,umemuelewa anasema ...kwenye hili .hakuna anayebisha kuwa jamaa miongoni mwa wana CCM alikuwa nafuu kwenye wizi!
Ila hakufaa kuwa Kiongozi wa juu...he was very poor,poor indeed,in managerial and Leadership Skills!
 
Back
Top Bottom