Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Wameshafanya assesment, hapa jamvini na huko mitaani na wameshaona hakuna njia rahisi ya kuwafikia wapiga kura.Sijui anafanya nini.
Na uzuri wa Mh Tundu Lissu amesoma wakati, safari hii, kwamba nyakati zingine kwenye siasa kuna ulazima udanganye kidogo. Matamshi yake ni Ukweli usiopingika na ikibidi, CCM wasikie.
Anafanya siasa?