BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Aisee huyu Mangi Ana Akili nzuri anajua kucheza na muda👏Hahahaaa!Unafiki ni kipaji chao.View attachment 2701543View attachment 2701545
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee huyu Mangi Ana Akili nzuri anajua kucheza na muda👏Hahahaaa!Unafiki ni kipaji chao.View attachment 2701543View attachment 2701545
Nakuhakikishia mbinu wanayotaka kutumia chadema itawaghalimu, wanalamba matapishi Yao, wangebaki kwenye hoja kuu na msimamo wao wanaouamini. Sio hii ya kuwa kigeugeu, nasikitika kuwa bado hatuna upinzani imara, Hawa wanaangalia upepo unakoelekea, hawatafaulu kamwe, wanajichimbia shimoAnajisahihisha,
Kauli ya Lissu, imeziba mpasuko uloasisiwa na wahuni wa kutugawa alipoingia tu Sa100.
Katika Issues za kitaifa, Tanzania ni priority no 2 baada ya Mungu.
Kurudi kwenye siasa za Kweli ni AFYA Kwa Taifa,Nakuhakikishia mbinu wanayotaka kutumia chadema itawaghalimu, wanalamba matapishi Yao, wangebaki kwenye hoja kuu na msimamo wao wanaouamini. Sio hii ya kuwa kigeugeu, nasikitika kuwa bado hatuna upinzani imara, Hawa wanaangalia upepo unakoelekea, hawatafaulu kamwe, wanajichimbia shimo
Ilikuwa suala la muda tu!BUSH BIN LADEN ni Yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa tunaimba naye wimbo mmoja.
Crimea
Nadharia yangu ni kwamba, Magufuli hakumwelewa/hakumjua Tundu Lissu...amekiri na UOVU wa Magufuli.
..Lissu ni msemakweli.
Kwani kati ya mwanadam na malaika ni Nani mkubwa na bora mbele za Mungu? Je kumuita mwanadam malaika au malaika mwanadam, ipi ni kufuru kati ya hizo?Kuna maeneo umeweka sawa, ila Kuna mengine. Hapana ya kumuita Magu malaika hapo hapana. Maneno mengine nakuunga mkono.
Hawa watu wangekuwa Timu moja tungeendaNadharia yangu ni kwamba, Magufuli hakumwelewa/hakumjua Tundu Lissu.
Lakini pia, kutokana na tabia alizokuwa nazo Magufuli, za kutotaka kuhojiwa na yeyote, na kule kupenda sifa kulimfanya afanye maamuzi ambayo hayakuhusiana na manufaa kwa Tanzania kwa kujaribu kumwondoa Tundu Lissu...
DuuuMwehu tu huyo hana jipya.
Akitoka hapo aende na kwa nyerere.
Wote hao ameshawatukana.
Kabisa mkuuAsante Lissu Kwa kuvunja makundi, Leo wote tumeungana kuwa kitu kimoja.
Bandari imetuunganisha.
Mchawi wa Watanzania sasa Yu bayana!!!!!!!
Sasa Lissu yeye ndio miongoni mwa waliopotia mateso na Utawala wa Magufuli.Usi generalise hii issue for no reason, Lissu amemzungumzia Magufuli specifically kwenye angle ya kulinda rasilimali za taifa, ndio amemsifia, lakini kama angegusa maeneo mengine, kama utawala bora na haki za binadamu, naamini story ingekuwa tofauti hapa, hata nawe ungekosa chakujitetea.
Tuliza munkari, just be specific.
as long as aliua watu ili to attain his goals, hafai kabisa!Same to me, dhalimu kwangu amegoma kuniingia kabisa. Hata hizi sifa za Lissu namuona hana maana kabisa.
Pumbavu kabisa huyu. Yeye si ndiye alikuwa anamtukana na kumuita kila aina ya maneno. Sasa ameona hana tija wala kukubalika kwenye jamii anajitafutizia kiki kupitia JPM.
exactly this is what Lisu meant, not otherwise. Aliiba lakini siyo kama samia na genge lake. Kuna tenda nyingi zilifanywa na Mayanga construction Company ambayo ilikuwa kampuni yake, ALIIBA lakini siyo kama hii ya samia Mamndenyi
Nashukuru kwa Lissu kutambua juhudi za JPM.