Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Tundu Lissu: Nitakwenda Chato, nitamwambia Magufuli amka uone Rais Samia anavyofanya

Tweet ya suphian

kaka yangu
@TunduALissu
unamkejeli Rais
@SuluhuSamia
eti hatoshi umesahau ndiye:

1)Kiongozi wa juu pekee aliyekuja kukufariji Kenya na Ubeligiji

2)Kulipa mishahara, pensions za Ubunge

3)Kupatia passport4)Kulipia ndege kutoka Ubeligiji

6)Kufuta watu wasiojulikana

JITAFAKARI!!


I think hivyo vyote vilikuwa ni haki Yale lisu kuvipata

Na sidhan kama Mh Rais alifanya hayo yote ili kumziba mdomo lisu

Na mtu akikufanyia wema haina maana kama unahisi amefanya wrong usimwambie

And wale ni wanasiasa and not mambo ya personally

Kama unakumbuka kuna wagombea wakati wa kampeni wanakaa kwenye migahawa wanakula na chini na wanainchi

Umewahi kuwaona wanafanya tena hivyo wakishakuwa viongozi?

That's is siasa
 
TAL akimsamehe jombaa, baasi, njia ni nyeupe kwa mwendazake kwenda mbinguni. Afanye hivyo ili amtoe toharani (purgatory). Kwa wakatoliki wataelewa
 
Tweet ya suphian

kaka yangu
@TunduALissu
unamkejeli Rais
@SuluhuSamia
eti hatoshi umesahau ndiye:

1)Kiongozi wa juu pekee aliyekuja kukufariji Kenya na Ubeligiji

2)Kulipa mishahara, pensions za Ubunge

3)Kupatia passport4)Kulipia ndege kutoka Ubeligiji

6)Kufuta watu wasiojulikana

JITAFAKARI!!
Sahihi kabisa binaadamu tumemumba kusahau, yote aliyofanyiwa ameyasahau akumbuke Kuna maisha baada ya siasa.
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesikika akisema atakwenda Chato kufanya mikutano wa kisiasa lakini pia atafika nyumbani kwa Hayati Magufuli na kuona alipozikwa na hata kusali hapo.

Lissu anakwenda kuhiji kwenye kaburi la hasimu wake mkubwa zaidi katika maisha yake ya kisiasa ni ili amsamehe?

Lissu siku za karibuni amesikika akimtaja Magufuli kwa lugha “Rafiki “ na inayoashiria kuachilia moyo na kusahau yaliyopita. Jambo hili ni jema sana na linaonesha ukomavu mkubwa sana wa Lissu kisiasa na kiroho!
Sijaelewa.
Nani anasamehe hapo na nani anadamehewa!
 
Tweet ya suphian

kaka yangu
@TunduALissu
unamkejeli Rais
@SuluhuSamia
eti hatoshi umesahau ndiye:

1)Kiongozi wa juu pekee aliyekuja kukufariji Kenya na Ubeligiji

2)Kulipa mishahara, pensions za Ubunge

3)Kupatia passport4)Kulipia ndege kutoka Ubeligiji

6)Kufuta watu wasiojulikana

JITAFAKARI!!
Yote mema aliyomfanyia hayahalalishi yeye kuuza bandari.

Ni sawa na mtu akufanyie wema sasahivi
Halafu aanze kufanya mabaya ushindwe kuongea eti kwa sababu tu alikufanyie wema nyuma.
 
"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya.

"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba.

"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari, kuna nini, kuna maslahi yapi ya ziada, wameacha ilani yao wameamua wafe na Mwenyekiti wao!

"Nani kama Mama, Mama gani anauza mali za familia? Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua? Mama gani anakula chakula cha watoto wake?

"Kama ni mwizi tutamuita mwizi, amegawa bandari zetu kwa Waarabu, atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba."

View attachment 2701509
Pia soma: Tundu Lissu: Hakuna Rais kwenye nchi hii amewahi kutufanyia kitu mbaya kama Rais Samia
Mwizi ni mwizi tu hata kama atakufariji. Na kufariji siyo hongo yakumfanya akae kimya kwa wizi
 
Siyo woote wanaoenda kuaga / kudhuru kaburi au kwenda msibani wanamuombea maiti, marehemu wengine wanenda kumsimanga.
 
Wamejaribu upepo wa utanganyika na uzanzibari wameshindwa, wamejaribu upepo wa bandari wameshindwa, sasa wanaona hebu wajaribu upepo wa marehemu; duh mambo ni mengi muda ni mchache😂
 
Back
Top Bottom