welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Huyu sasa sijuh dishi limeyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelewa maana ya kuzika?Amka nimekumiss wakati hukuja kunizika? Ntakuzibua vibao usione vinakotokea
😂😂 Lazaro Amka!Lissu anawapeleka mputamputa nyumaa geuka [emoji1787]
Wewe unaelewaUnaelewa maana ya kuzika?
Ndio, unaweza kumzika mtu ukiwa popote paleWewe unaelewa
Ntakuzabua makofi usione yanakotokeaNdio, unaweza kumzika mtu ukiwa popote pale
Mitume anasema Mwislam akifia eneo lenye Waislam basi wamzike na itahesabika amezikwa na ndugu zake!
😂😂 Ushindwe kwa jina la Yesu !Ntakuzabua makofi usione yanakotokea
Retired unakumbuka nilisema mwaka 2025 kete ni JPM. CC Erythrocyte umeuona ukweli JPM hakuiba si maneno yangu ni testmony ya Boss wako"Nilihapa sitafanya mkutano Chato ila nitakwenda hata waweke mapolisi nitakwenda Chato, nitakwenda kumuasha Magufuli amka Magufuli amka uone wanavyofanya.
"Magufuli hakuiba tusimsingizie wala hakusaini huo mkataba, Magufuli mnajua mambo yake hakuwahi kuiba.
"Umewahi kuona wapi CCM wanazunguka nchi nzima kutetea Mkataba wa bandari, kuna nini, kuna maslahi yapi ya ziada, wameacha ilani yao wameamua wafe na Mwenyekiti wao!
"Nani kama Mama, Mama gani anauza mali za familia? Mama gani anagawa cha kwetu kwa watu tusiowajua? Mama gani anakula chakula cha watoto wake?
"Kama ni mwizi tutamuita mwizi, amegawa bandari zetu kwa Waarabu, atuambie manufaa ya huu mkataba yako wapi kwenye mkataba sio kupiga maneno na hayapo kwenye mkataba."
View attachment 2701509
Pia soma: Tundu Lissu: Hakuna Rais kwenye nchi hii amewahi kutufanyia kitu mbaya kama Rais Samia
Kauli yake inaishi“Siku moja Mtanikumbuka,na mimi najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya,kwa sababu Nimesacrifice maisha yangu kwa ajili ya Watanzania maskini”
Na ulikuwa sahihi mkuuRetired unakumbuka nilisema mwaka 2025 kete ni JPM. CC Erythrocyte umeuona ukweli JPM hakuiba si maneno yangu ni testmony ya Boss wako