Tundu Lissu: Ole Sabaya atendewe haki
Nchi yetu inategemea uliishije na watu ata kama hakutelkeleza sheria vyema wakati nchi zingine inategemea ulitekeleza vipi sheria .
 
w
Ijapokuwa Ole Sabaya anatuhumiwa kufanya uovu mkubwa wakati akiwa DC Hai, alipaswa kufunguliwa mashtaka ya jinai kortini. Kwa TAKUKURU kumweka mahabusu kwa wiki nzima ni kukiuka sheria za nchi yetu & kuendeleza tabia ya ukiukaji wa haki za binadamu ya vyombo vyetu vya usalama!

acheni takukuru wafanye kazi yao.ss tusubiri ushahidi ukishakamilika tutajua mbivu na mbichi.
 
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!

Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?

Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Namshangaa Lissu kwa hili!!! Alitakiwa akae kimya.
 
Pamoja dhamana ni haki ya mtuhumiwa Ila mwacheni kidogo aonje kibano nae.
 
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!

Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?

Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Hapo wamedeal naye kihuni kivip zaidi ya kumshikilia tu.Taratibu zakisheria ziko wazi na zinaumuhimu mkubwa kuliko hicho kinachofanyika.Vinginevyo anaweza akashikiliwa hivyo alafu mwishoni ukasikia hakuna uthibitisho.Kuheshimu utawala wa sheria kuna manufaa makubwa kwa nchi kuliko namna nyingine yakuhandle watu wanaoshukiwa kwa makosa mbalimbali.
 
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!

Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?

Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Mwenzako kazungumza kwa mujibu wa taaluma yake ya sheria sio mihemko na kulipiza visasi kwani kufanya hivyo unaweza kumuumiza mtu ambaye hana hatia. Kila mtu ni Innocent until proven gulty.
 
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!

Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?

Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.sheria haina uhuni ukiwa muumini wa sheria lazima zifuatwe na hii hii maana yake serikali inataka kufanya uhunu ....
 
Takukuri hawatafsirinsheria why wanakaa naye tunataka alepekwe mahakamani hapo ndo tutajua kwa mujibu wa sheria ametenda makosa na sheria takukuru ni wahuni watakuja kumalizana kihuni kama wanavyofanya kwa wengine
 
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!

Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?

Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Ata ile pinga pinga ya kumkosoa Mama la mama Mheshimiwa Rais tangu sabaya amedakwa imepungua! bora wa muweke ndani
 
Namshangaa Lissu kwa hili!!! Alitakiwa akae kimya.

..mtuhumiwa ana haki zake.

..aliyepatikana na hatia ana haki zake.

..Lissu ni mwanasheria mzoefu kuna jambo ameona haliko sawa ndio maana akatoa kauli.

..Na linapokuja suala la HAKI Lissu huwa habagui.
 
Hapana. Kaongea Kama mwanasheria. Ni ngumu Sana kumwelewa lisu Kama haupo vizuri.
Lissu ni akili kubwa sana, wachache huweza kumuelewa. Nadhani hata mwendazake hili lilimpa shida, kuna maeneo hakumuelewa na akamhukumu kimakosa. Ukisoma comments nyingi humu, wengi hawamuelewi na baadhi wanamhukumu kimakosa.
 
Kwa kuusema tu ukweli, mimi ni kati ya wale, walio kuwa wanashangilia sana jamaa ‘kuumizwa’, lakini TAL amenifikirisha! Yupo kinyume sana na wale walipa visasi, wazee wa kuumiza na kuua wapinzani wao! Hii kutreat watu justly ni jambo jema, hawa ndo viongozi wanatufaa!
 
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!

Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?

Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Anaonya ili kuepuka kuvuruga mwenendo wa uchunguzi na upelelezi wa jinai alafu mtuhumiwa kuachiwa katika mazingira ya udanganyifu
 
Ijapokuwa Ole Sabaya anatuhumiwa kufanya uovu mkubwa wakati akiwa DC Hai, alipaswa kufunguliwa mashtaka ya jinai kortini. Kwa TAKUKURU kumweka mahabusu kwa wiki nzima ni kukiuka sheria za nchi yetu & kuendeleza tabia ya ukiukaji wa haki za binadamu ya vyombo vyetu vya usalama!

Tunaongelea haki ipi
 
..mtuhumiwa ana haki zake.

..aliyepatikana na hatia ana haki zake.

..Lissu ni mwanasheria mzoefu kuna jambo ameona haliko sawa ndio maana akatoa kauli.

..Na linapokuja suala la HAKI Lissu huwa habagui.
Sheria is not always right. Akipelekwa mahakamani akipata mwanasheria mzuri anachomoa. Si kila wakati sheria zinatenda haki hata kama una uhakika mtuhumiwa katenda kosa!
 
Ifike muda, Tundu Lissu nae ajue kuna muda wa kuongea na muda wa kukaa kimya!

Sympathy kwa jitu aina ya Sabaya inatoka wapi?

Dawa ya wahuni ni kudeal nao kihuni.
Hata Hitler akikamatwa leo hii, atafikishwa tu mahakamani na wala hatakatwa katwa mapanga kisa aliua watu.

That's what the civilized world does. A person is presumed innocent until proven guilty by the due process of law. So Tundu Lissu is right.
 
Ole Sabaya naye wa kuonea huruma kweli? Jitu tesaji, dhulumati na linatuhumiwa kubaka binti na wake za watu kwa nguvu ya madaraka aliyopewa hapana! Akae tu huku kama kuna mateso wachocheee zaidi
 
Ijapokuwa Ole Sabaya anatuhumiwa kufanya uovu mkubwa wakati akiwa DC Hai, alipaswa kufunguliwa mashtaka ya jinai kortini. Kwa TAKUKURU kumweka mahabusu kwa wiki nzima ni kukiuka sheria za nchi yetu & kuendeleza tabia ya ukiukaji wa haki za binadamu ya vyombo vyetu vya usalama!

Wavha uchochezi
 
Back
Top Bottom