Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa.

"Si walisema hatutashtakiwa? Oooh Lissu alisema tutashtakiwa...mbona sasa hatujashtakiwa? Niwaambieni, kwa mwaka huu pekee makampuni matatu yametushtaki kwenye mahakama za kimataifa" Amesema Lissu bila kubainisha haya makampuni.

My take:
Kutokana na Rais kubana uhuru wa upatikanaji habari na kutokana na mambo ya ajabu tunayoelezwa na serikali huku mengine yakiwa waziwazi ya uongo, naamini alichosema Lissu.
 
Kuiondoa CCM kwenye uso wa afrika mashariki.

Nchi nyingi zilizo/zinazo (kuwa/tumia) mfumo wa Ujama ni ngumu sana kuachia Dola walioitafuta kwa jasho la kutokomeza ukoloni.

Ili kuipata Dola ni lazima muungane nao ili kueneza itikadi zenu za kizalendo (mjifanye nanyi ni wajamaa), ingawa ni vigumu kupitia huko na kuja kuwa bepari.

Ni kweli hali ya maisha ni ngumu, kinachofanya maisha yanakuwa na nafuu kidogo ni kwasababu ya kuishi kijamaa.

Nchi hii ili iendelee ni lazima kung'oa mizizi ya ukoloni mamboleo na kuwa kitu kimoja katika ujenzi na keki ya Taifa.

Sipingi mfumo wa vyama vingi lakini napinga mtindo wanaoutumia kushika Dola.
 
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa..
Mkuu umesahau kuwa mzungu hatishwi? Hawezi kuogopa kudai haki yake kisa mmesema kuwa hamtashitakiwa.
 
Nimechoka kudanganywa bwashee. Wewe endelea kuambiwa zimejengwa zahanati 400 na SGR inajengwa kwa mapesa ya ndani.
Huyo kwakuwa ni mpiga zumari lazima ataamini tu
 
Back
Top Bottom