Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais anasema hatutashitakiwa, kwa mwaka 2020 pekee makampuni matatu yametushitaki kwenye mahakama za kimataifa

Muulizeni Lissu ile kesi aliwaomba wale wamakanikia wampe kazi ya kuishitaki Tanzania imefikia wapi? Mbona haiongelei tena? Kulikoni?

Huyu analotatizo kubwa, si kidogo, ndani ya Ubongo wake, si kidogo na rudia, tatizo kubwa abalo huyu!!! Alitaka tenda ya uwakili kwa wale wezi wa raslimali za Watanzania kwa jina la makanikia. Leo hii kisha sahau anafikiri Watanzania ni mandondocha wake. Anataka wamchague awe rais wao. Anapoteza muda na raslinali zake na za cdm bure kabisaa, hapati kitu.

Huyu huko Ubeligiji atakuwa kafundishwa mambo ya utapeli wa kisiasa. Kawa political coneman. Na ni mjanjamjanja sana tu. Kaiga staili ya JPM ya kusimama njiani akiwa safarini kuongea na wafuasi wake. Sasa Lissu kaona kila anaposimama idadi kama haisomeki kivile,sicho alicho kitarajia. Cheki zuga zake, ooh sijui kampeni hazijaanza nitarudi wakati wa kampeni. Unajua anachota ni umma udanganyike kuwa idadi ile ya watu wachache ni kwasababu kampeni bado hazijaanza Muambieni blabla za kisiasa hazitamsaidia kumfikisha popote.

Lakini mbaya zaidi sijui kama wengine mmeliona hili ambalo ndilo hatari zaidi. Huyu mpuuzi anataka kuingiza vyombo nyeti vya Usalama wataifa hili katika michezo yake hii ni hatari kwelikweli. Huyu mtu tusipochukua tahadhari kama taifa. Viko vyombo vya ulinzi na usslama ambavyo bila ya umamahiri wake amani na taifa hili la Tanzania pengine tusingekuwa navyo leo. Jamani keep a very close watch kwa huyu mtu ni hatari kwa usalama wa taifa hili, na sema janaa huyu ni hatari kuliko corona.
 
Kuiondoa CCM kwenye uso wa afrika mashariki.
Kweli kabisa mkuu, yaani kwa hiki ccm walichofanya kwa awamu hii + hiki wanachoendelea kufanya kwenye mchakato mzima wa kuelekea uchaguzi mkuu, kwa jina la Mungu Lissu akifanikiwa kuwadondosha na ndio itakuwa mazishi yao mazima.
 
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa.

"Si walisema hatutashtakiwa? Oooh Lissu alisema tutashtakiwa...mbona sasa hatujashtakiwa? Niwaambieni, kwa mwaka huu pekee makampuni matatu yametushtaki kwenye mahakama za kimataifa" Amesema Lissu bila kubainisha haya makampuni.

My take: Kutokana na Rais kubana uhuru wa upatikanaji habari na kutokana na mambo ya ajabu tunayoelezwa na serikali huku mengine yakiwa waziwazi ya uongo, naamini alichosema Lissu.
Mayoooo waneeee !!
 
..hapana.

..huko wanakwenda mawakili wenye leseni na usajili wa kutetea kesi ktk mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro ya uwekezaji.

..hakuna wakili hata mmoja toka Tz mwenye usajili ktk mahakama hiyo.
Mkono Nimrod ameitetea tanesco sana mkuu
 
Akiwa mjini Kahama, mgombea urais wa Jamhuriya muungano ndugu Tundu Antipas Lissu amesema kuwa makampuni makubwa matatu kwa mwaka huu pekee yameishtaki Tanzania kwenye mahakama za kimataifa.

"Si walisema hatutashtakiwa? Oooh Lissu alisema tutashtakiwa...mbona sasa hatujashtakiwa? Niwaambieni, kwa mwaka huu pekee makampuni matatu yametushtaki kwenye mahakama za kimataifa" Amesema Lissu bila kubainisha haya makampuni.

My take: Kutokana na Rais kubana uhuru wa upatikanaji habari na kutokana na mambo ya ajabu tunayoelezwa na serikali huku mengine yakiwa waziwazi ya uongo, naamini alichosema Lissu.
Tuliambiwa mzungu wa ndege ya ATC tumemshinda kesi atatulipa mipesa! Imekuaje tena!
 
Kwa hiyo anafurahi kushtakiwa kwa nchi yake?na amejuaje kama hahusiki?dah!!
 
Back
Top Bottom