Majizi yachague majizi inaruhusiwa! kama majizi ni mengi kuliko raia wote itajulikana! 28 oct. Ila ujue kupiga watoto majirani wameshazingira nyumba!Tuthibitishie hapa ameibaje hizo rambirambi na tuonyeshe ushahidi wa hicho unachokisema. Maana mmezoea kuwalisha matango pori watanzania kama kaka yenu Kigogo. Watanzania wamewashtukia sasa hivi na watamchagua Magufuli
Mbona unasindwa kuweka hoja, relax na lete hoja, hoja hujibiwa kwa hojaMajizi yachague majizi inaruhusiwa! kama majizi ni mengi kuliko raia wote itajulikana! 28 oct. Ila ujue kupiga watoto majirani wameshazingira nyumba!
Hivi nyumbani kwako kubadilisha matumizi ya kununua friji badala yake ukaenda kununu jiko la kupikia chakula, nao ni wizi? Aisee kweli wapinzani mna mambo ya hovyo sana yani, hamna hoja za msingi. Muda mwingine muwe mnafikiria nje ya box.yeye mwenyewe alikiri kuingiza kwenye miradi mengine ambayo haijaidhinishwa kisheria ,hiyo ndo kula rambi rambi hana tofauti na steve nyerere ,halafu sijui hawa comedian wanapenda sana kula rambirambi
Nitakaaje kwenye platform moja na wezi? Hoja za wezi ni wizi mtupu! Pushup transformed to Kneeling down! maji ya shingo. Hatuwasamehe!!Mbona unasindwa kuweka hoja, relax na lete hoja, hoja hujibiwa kwa hoja
comparison unayofanya ni utumboHivi nyumbani kwako kubadilisha matumizi ya kununua friji badala yake ukaenda kununu jiko la kupikia chakula, nao ni wizi? Aisee kweli wapinzani mna mambo ya hovyo sana yani, hamna hoja za msingi. Muda mwingine muwe mnafikiria nje ya box.
Hivi nyumbani kwako watoto na mkeo wote wakikuomba uwanunulie friji na wewe ukawaletea jiko la kupikia watafurahia?Hivi nyumbani kwako kubadilisha matumizi ya kununua friji badala yake ukaenda kununu jiko la kupikia chakula, nao ni wizi? Aisee kweli wapinzani mna mambo ya hovyo sana yani, hamna hoja za msingi. Muda mwingine muwe mnafikiria nje ya box.
Chomelea hapo hapo Mnyampaa😆Shikamoo Lissu kamata hapo hapo🤣🤣
Naona kaweka ugoko,umeweka jiwe.Hivi nyumbani kwako watoto na mkeo wote wakikuomba uwanunulie friji na wewe ukawaletea jiko la kupikia watafurahia?
Fikiria nje ya Box.
Lete comparison yako ambayo ni bandamacomparison unayofanya ni utumbo
Ukitaka kumfurahisha kila mtu kwa vitu visivyo na tija huwezi ukayafikia mafanikio. Fikra jadidi ni kufanya kile kinachopaswa kufanywa na sio kile unachotaka kufanya.Hivi nyumbani kwako watoto na mkeo wote wakikuomba uwanunulie friji na wewe ukawaletea jiko la kupikia watafurahia?
Fikiria nje ya Box.
Yaani anapewa ,anapewa ,anaongezwa mpaka imebidi awaingize police ccm ili limsaidie,lakini wapi bado anaandamwaHa ha ha, aisee bora Mungu amesikia kilio cha watanzani amemponyesha lisu aje atusaidie kumkandika ukweli huyu mwokozi wa lugola, maana wanaume wote kwa miaka 5 tulikuwa tumesiginwa kama george floyd! We were not breathing!
Siku ya Wazee leo.yeye mwenyewe alikiri kuingiza kwenye miradi mengine ambayo haijaidhinishwa kisheria ,hiyo ndo kula rambi rambi hana tofauti na steve nyerere ,halafu sijui hawa comedian wanapenda sana kula rambirambi
Hivyo kukiwa na michango ya kufanyia vyote, basi hatafanya, kisa hamna serikali duniani imefanya hiyo, ujinga!Uongo Uongo Uongo, yani mgombea urais unathubutu kuidanganya kadamnasi. Hufaia kuiongoza Tanzania. Umeona wapi popote pale duniani ambapo maafa yanatokea halafu serikali inakimbilia kujenga nyumba za watu binafsi kabla ya kujenga miundombinu ya eneo husika liliathirika?
Ni vizuri kusimamia hoja na kile unachokiamini. Salamu za kuonyesha ishara za huzuni kwa baada ya maafa..Tuthibitishie hapa ameibaje hizo rambirambi na tuonyeshe ushahidi wa hicho unachokisema. Maana mmezoea kuwalisha matango pori watanzania kama kaka yenu Kigogo. Watanzania wamewashtukia sasa hivi na watamchagua Magufuli
Yani hapo hayo manyumbu ya kiume yote yatakimbia, halafu watawapa kazi ngumu mama zetu, dada zetu na wadogo zetu, nasemaje Chaguo la watanzania ni CCM, Chaguo la watanzania ni Magufuli.Ni vizuri kusimamia hoja na kile unachokiamini. Salamu za kuonyesha ishara za huzuni kwa baada ya maafa..
Unafikiri maafa yatamkumba Nani Oktoba 28?
Tafsiri
View attachment 1587044
Leta hoja hapa mezani acha matusi, ndio maana tunasema wapinzani hamfai kuiongoza hii nchi kwa maana hamna maadili na hamna miiko ya uongozi. Uongozi unahitaji mtu makini na sio mpotoshaji kama LisuHapo ulipo wanakukula mdondo shoga wewe! Au wewe ni yule hermaphrodite aliyekuwa mkuu wa Dar!?
Amesikika Akisema haya Leo.."Kumbukeni Vijana tusipelekeshwe na mihemko ya kisiasa, maendeleo hayana chama tuungane kwa pamoja kuipeleka Tanzania mbele."Yani hapo hayo manyumbu ya kiume yote yatakimbia, halafu watawapa kazi ngumu mama zetu, dada zetu na wadogo zetu, nasemaje Chaguo la watanzania ni CCM, Chaguo la watanzania ni Magufuli.
Hoja ya kutetea majizi! ?? over my dead body!!Leta hoja hapa mezani acha matusi, ndio maana tunasema wapinzani hamfai kuiongoza hii nchi kwa maana hamna maadili na hamna miiko ya uongozi. Uongozi unahitaji mtu makini na sio mpotoshaji kama Lisu
Kwa uungwana ninachoweza kusema ni kuwa hapo kuna ka ugunduzi wa divide and rule, na hilo huoneka kwa watu wenye uwezo wa kuona mbali, wanachofanya mataifa ya ughaibuni huwa wanatumia vibaraka kama wakina Lisu ku penetrate hiyo policy ya divide and rule.Amesikika Akisema haya Leo.."Kumbukeni Vijana tusipelekeshwe na mihemko ya kisiasa, maendeleo hayana chama tuungane kwa pamoja kuipeleka Tanzania mbele."
Kwa uungwana unaonaje
Wizi upi? Na nani aliyefanya wizi lete hoja.Hoja ya kutetea majizi! ?? over my dead body!!