Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Tundu Lissu kwenye maria space ameulizwa anaamini Mhe. Rais atafanyia Kazi Yale waliyojadiliana? Kwa majibu yake ni kwamba, kipimo kinaanza na kesi ya Mbowe. Asipomtoa tarehe 18/02/2022 ni shauri yake. Picha amepata ila furaha iliyotokana na hiyo picha itaondoka Kwa zaidi ya 50%.

Wakimnyima pasipoti ataenda umoja wa Ulaya au Ubelgiji kuomba travel document arudi nyumba kama alivyoahidi.

Asiporuhusu mikutano yeye atarejea na kuendeleza siasa wakitaka wamkamate wampeleke gereza akaungane na Mbowe.

Kuhusu usalama wake amedai asipohakikishiwa usalama atarudi na litakalompata nature itaamua.

Kwa upande wa Katiba mpya amedai hakuna kurudi nyuma.

Kwa kuhitimisha; amesema wapo tayari kushirikiana na Rais kwenye mambo yanayoliponya Taifa. Ambayo categorically alimweleza Rais Jana.

Aidha ametaka Rais aamue kuwa Angela Markel wa Tanzania au Joyce Banda wa Tanzania.

Mzigo anao Rais yeye Hana Cha kupoteza politically Wala vinginevyo.
 
Tundu Lisu kwenye maria space ameulizwa anaamini Mhe. Rais atafanyia Kazi Yale waliyojadiliana? Kwa majibu yake ni kwamba, kipimo kinaanza na kesi ya Mbowe. Asipomtoa tarehe 18/02/2022 ni shauri yake. Picha amepata ila furaha iliyotokana na hiyo picha itaondoka Kwa zaidi ya 50%

Wakimnyima pasipoti ataenda umoja wa Ulaya au Ubeligiji kuomba travel document arudi nyumba kama alivyoahidi.

Asiporuhusu mikutano yeye atarejea na kuendeleza siasa wakitaka wamkamate wampeleke gereza akaungane na Mbowe

Kuhusu usalama wake amedai asipohakikishiwa usalama atarudi na litakalompata nature itaamua

Kwa upande wa Katiba mpya amedai hakuna kurudi nyuma


Kwa kuhitimisha; amesema wapo tayari kushirikiana na Rais kwenye mambo yanayoliponya Taifa. Ambayo categorically alimweleza Rais Jana.

Aidha ametaka Rais aamue kuwa Angela Markel wa Tanzania au Joyce Banda wa Tanzania.

Mzigo anao Rais yeye Hana Cha kupoteza politically Wala vinginevyo.
Joyce Banda alikuwaje?
 
kiongozi mzuri unapaswa kuwa mtulivu na sio kupayuka payuka...mmeshazungumza, mlichozungumza mnajua wenyewe, unaanza kupayuka payuka kila kukicha matokeo yake mliozungumza wataona unawapa amri sasa au kuwaoverride..
 
Huyu gaidi afungwe harahara kwasababu mate yamekuwa mengi kwa wanaharakati uchwara...ushahidi umenyooka hivyo alafu hawa watu wa space wanajitoa ufahamu...

Mualifu ni mualifu tu hata dunia ipige kelele hatashugulikiwa..iwefundisho kwa vizazi vijavyo.
Ukute huyu katumwa aandike haya na Wakuu wa ile taasisi iliyojigeuza jumuia muhimu ya CCM!

Nchi hii imevurugwa sana
 
kiongozi mzuri unapaswa kuwa mtulivu na sio kupayuka payuka...mmeshazungumza, mlichozungumza mnajua wenyewe, unaanza kupayuka payuka kila kukicha matokeo yake mliozungumza wataona unawapa amri sasa au kuwaoverride..
Kwahiyo ulitaka asiongee walicho zungumza ili muanze ngonjera zenu kusema Tundu Lissu ameisaliti Chadema Mara ooh ameomba kukutana na Rais ooh ameunga juhudi nyambafu.

Siri ni ipi hasa hapo ni hii kesi ya michongo ya Mbowe na kunyimwa chakula miezi5 ndio Siri? Au Siri ni Lissu kupokwa. Ubunge kihini na kunyimwa stahiki zake na. Mwenda kuzimu? Au Siri ni Lissu kumwambia ukweli kuwa KATIBA mpya ni lazima? Au Siri ni kumweleza ukweli kuwa anavunja KATIBA kuzuia mikutano halali ya vyama vya siasa? Watanzania wengi ni majinga Sana na ndio mtaji wa CCM.
 
Back
Top Bottom