Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

kichwa kibovo hiki yaani huon muhim wa katiba na huu muingiliano wa mihimili kweli? inasikitisha
Kuhusu mikutano ya kisiasa sheria ipo wazi kabisa namna utaratibu unavyokuwa sasa hilo kundi wanataka wajifanyie kama wanavyotaka wao na sio sheria inavyosema( law as it is),pili suala la katiba mpya huu mgogoro ukiangalia kwa undani zaidi unaona kabisa ni mgogoro wa vyama pinzani na serikali na kikubwa vyama pinzani cdm wakiwa mbele ni kutaka nafasi za uongozi katika serikali sababu mwananchi anataka maendeleo ambayo yanaweza kupatikana hata kwa hii katiba iliyopo ambayo kiukweli mwananchi wa kawaida hamletei shida yoyote zaidi ya hao wanaotaka nchi igawanywe nao wapate kutawala(Serikali za majimbo),cdm mambo ya katiba mpya mmeferi hiyo sera imefeli kwa mwananchi ndio maana wenzenu wamerudi nyuma kitambo jipangeni na sera zingine mashiko na kwa taarifa huyo aliyopo ulaya sio mwanasiasa ni mwanaharakati anawapotosha hamjui tu atawaletea balaa kubwa ndani ya chama au chama kufa na kusambaratika kabisa.
 
Huyu gaidi afungwe harahara kwasababu mate yamekuwa mengi kwa wanaharakati uchwara...ushahidi umenyooka hivyo alafu hawa watu wa space wanajitoa ufahamu...

Mualifu ni mualifu tu hata dunia ipige kelele hatashugulikiwa..iwefundisho kwa vizazi vijavyo.
Mkuu usiwe na shaka. Kwenye hii kesi, Serikali imejipanga vizuri kwakuwa ulinzi na usalama kwa raia ndio msingi wa Serikali yoyote duniani.
 
Nani anataka Mikutano ya kisiasa, bado anaishi dunia ya 90s, watu wanarundikana kusikiliza uongo wa wanasiasa siku hizi vijana hawana huo muda wanatafuta mijihela tu pia Corona ipo kila Pembe.
Wenye akili timamu wanaelewa umuhimu wa mikutano katika kujenga mazingira rafiki na wezeshi ya ujenzi wa uchumi na biashara.

Punguani wanadhani unaweza kuwa na uchumi mzuri bila mifumo mizuri ya kusimamia uchumi ambayo ni matokeo ya shughuli za kisiasa.
 
Lissu is naturally arrogant, huwezi tumia lugha hiyo kuongea na Mh. Rais yeyote yule..

Huwezi mlazimisha Mh. Rais afanye anayotaka Lissu. By the way who is Lissu?

1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.

2: Katiba Mpya, sio kitu cha kukurupuka na kuanza, ina mambo mengi, mojawapo ni fedha, na kama haipo katika priority Mh. Rais huwezi kum force afanye.

3: Eti amuachie Mbowe, kwani Mbowe kakamatwa na Mh. Rais? Makosa ya Mbowe ni kabla hata Mh. Samia hajawa Rais wa nchi yetu. Hivi nyie watu mnaelewa au kazi kupiga kelele tu. Kesi mnasikiliza, mashtaka ya Mbowe ni kabla hata Samia hajawa Rais, sasa Samia amuachie kwa lipi?
Wewe ni mzima kweli? Ni makosa gani ambayo Mbowe aliyafanya? Nani aliyemshtaki Mbowe?

Hujui kuwa mlalamikaji ni Serikali? Nani msimamizi au kiongozi wa Serikali. Kuwekwa ndani Mbowe ni matakwa ya Samia kwa 100%. Yeye ndiye mlalamikaji. Mlalamikaji akiamua kuondoa malalamiko yake bandia, kuna mtu atamlazimisha?
 
Lisu bana!..

Yani ili nchi ipone ni matakwa yake kutekelezwa?

Hivi hawa wajinga wanatuonaje?

Nchi hii itapona umeme ukiacha kukatwa hovyo,
Nchii hii itapona bei za bidhaa zikishuka na huduma muhimu za kijamii zikiboreshwa na siyo huo utopolo wao

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Punguani hujua uhusiano uliopo kati ya huduma na shughuli za kisiasa.

Ukiwa mjinga kiasi kama hiki cha kwako, ni vema ukanyamaza ili watu wasijue kuwa una ujinga wa kiwango hicho. Tumia zaidi muda wako kujifunza kutoka kwa wengine. Inaonekana uelewa wako ni mdogo sana.
 
Kwa hiyo mwanasheria anayesifiwa, anataka rais aingilie maamuzi ya mahakama? He must be rubbish!
Unhekuwa na akili japo kidogo sana, ungetafakari pale Rais aliposema kuwa tumefuta kesi zote dhidi ya Lisu. Kuna mahali ulisikia amesema kuwa mahakama imefuta?
 
Tundu Lissu kwenye maria space ameulizwa anaamini Mhe. Rais atafanyia Kazi Yale waliyojadiliana? Kwa majibu yake ni kwamba, kipimo kinaanza na kesi ya Mbowe. Asipomtoa tarehe 18/02/2022 ni shauri yake. Picha amepata ila furaha iliyotokana na hiyo picha itaondoka Kwa zaidi ya 50%.

Wakimnyima pasipoti ataenda umoja wa Ulaya au Ubelgiji kuomba travel document arudi nyumba kama alivyoahidi.

Asiporuhusu mikutano yeye atarejea na kuendeleza siasa wakitaka wamkamate wampeleke gereza akaungane na Mbowe.

Kuhusu usalama wake amedai asipohakikishiwa usalama atarudi na litakalompata nature itaamua.

Kwa upande wa Katiba mpya amedai hakuna kurudi nyuma.

Kwa kuhitimisha; amesema wapo tayari kushirikiana na Rais kwenye mambo yanayoliponya Taifa. Ambayo categorically alimweleza Rais Jana.

Aidha ametaka Rais aamue kuwa Angela Markel wa Tanzania au Joyce Banda wa Tanzania.

Mzigo anao Rais yeye Hana Cha kupoteza politically Wala vinginevyo.
Huyo Shoga Lissu asitutishe akipenda kurudi Tanzania arudi hataki aache kwani sisi tulioko Tanzania tulikwishahakikishiwa usalama mbona tunaishi yeye ni nani hadi ahakikishiwe usalama wake binafsi? Asidhani alikuwa anaongea na poyoyo bali Chifu ni muelewa na ataleta jambo hilo ndani ya vikao vya CCM na litazimwa maana CCM si Kama Chadema chama cha mtu mmoja
 
It’s all about him

Unfortunately haimsaidii

Inamdumaza
Namhurumia sana Lisu,, anyway ukorofi anso tangu yuko primary, haya maneno yake yameondoa kabisa mwelekeo wa diplomatic approach,,,
Hao wazungu wasimdanganye sana, [emoji23],atakuja kula pin na hao anaowategemea hawatamsaidia
 
kichwa kibovo hiki yaani huon muhim wa katiba na huu muingiliano wa mihimili kweli? inasikitisha
Umekaririshwa maneno ya wachumia tumbo ukiambiwa katiba ya sasa inamapungufu gani hujui chochote mfata mkumbo tu,muingiliano wa kishabiki usio na hoja zenye mashiko.
 
Lisu nae keshaonana na Rais wameongea bado tena anaanza kupuyanga maneno kama mlevi.
 
Wenye akili timamu wanaelewa umuhimu wa mikutano katika kujenga mazingira rafiki na wezeshi ya ujenzi wa uchumi na biashara.

Punguani wanadhani unaweza kuwa na uchumi mzuri bila mifumo mizuri ya kusimamia uchumi ambayo ni matokeo ya shughuli za kisiasa.
Wewe na Punguani wenzio ndio mnataka kutuletea mikutano ya kisiasa ambayo inazaa ugaidi, magonjwa ya kuambukizana na uvivu wa kufafuta Pesa,

Vijana wa Kileo washaukataa huo Upunguani.
 
Back
Top Bottom