Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Yako imejaa nini?Akili yako imejaa matope hakika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yako imejaa nini?Akili yako imejaa matope hakika.
Punguza jaziba. Kama kuwashwa ni wewe si hatupotezi kitu wengine. Kama u gekuwa na akili ungejiuliza kuwa siku zote alikuwa anatumia passport yako huyo mange kusafiriUliwahi kujiuliza ilikuwaje Mange Kimambi akasota kupata passport mpaka majuzi alipomuomba Rais? Punguzeni ujuaji na kuwashwa washwa..
Wewe nawe una akili sawa sawa??Lissu amechanganyikiwa.
Unafikiri na wewe una akili sawa sawa?Wewe nawe una akili sawa sawa??
Nafkri lisuu anatatizo kwenye brain yake, au Kama si hvyo Basi atakuwa na shida kubwa ya kisaikolojia, na hlo ndo waswahili wanasema mdomo uliponza kichwa,Kwahiyo aingilie uhuru wa Mahakama.
Swala la Passport nalo ni issue ya kumwambia rais ? Hata kamishina wa uhamiaji angemuambia awaone vijana wake.
Naungana na askofu Bagonza iko issue kwa kichwa huyu.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Chadema!Tundu Lissu kwenye maria space ameulizwa anaamini Mhe. Rais atafanyia Kazi Yale waliyojadiliana? Kwa majibu yake ni kwamba, kipimo kinaanza na kesi ya Mbowe. Asipomtoa tarehe 18/02/2022 ni shauri yake. Picha amepata ila furaha iliyotokana na hiyo picha itaondoka Kwa zaidi ya 50%.
Wakimnyima pasipoti ataenda umoja wa Ulaya au Ubelgiji kuomba travel document arudi nyumba kama alivyoahidi.
Asiporuhusu mikutano yeye atarejea na kuendeleza siasa wakitaka wamkamate wampeleke gereza akaungane na Mbowe.
Kuhusu usalama wake amedai asipohakikishiwa usalama atarudi na litakalompata nature itaamua.
Kwa upande wa Katiba mpya amedai hakuna kurudi nyuma.
Kwa kuhitimisha; amesema wapo tayari kushirikiana na Rais kwenye mambo yanayoliponya Taifa. Ambayo categorically alimweleza Rais Jana.
Aidha ametaka Rais aamue kuwa Angela Markel wa Tanzania au Joyce Banda wa Tanzania.
Mzigo anao Rais yeye Hana Cha kupoteza politically Wala vinginevyo.
Na ninakiona Tena kingine kwa maelezo yanayoendelea kutoka nikama vile lisuu hakukutana na RAIS amekutana na madam president, hvyo anamwamulisha vyovyote anavyo lisuu, ndo maana kunasehem nmesema hyo anatatzo la health Brian, au la kisaikolojia, kunakimoja lazima kinamhusu..Kwa hiki anachoendelea kufanya Lissu hatuwezi kusema kwamba yale mazungumzo yake na rais ilikuwa ni kumpa heshima kama mkuu wa nchi, bali kinachoonesha hapa ni kama Lissu kampa maagizo rais ya nini afanye.
Kwahiyo picha inayoendelea ni huyo mkuu wa nchi kufanya kama alivyoagizwa na Lissu au agome kutekeleza maelekezo ya Lissu.
Yako imejaa nini?
Lissu is naturally arrogant, huwezi tumia lugha hiyo kuongea na Mh. Rais yeyote yule..
Huwezi mlazimisha Mh. Rais afanye anayotaka Lissu. By the way who is Lissu?
1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.
2: Katiba Mpya, sio kitu cha kukurupuka na kuanza, ina mambo mengi, mojawapo ni fedha, na kama haipo katika priority Mh. Rais huwezi kum force afanye.
3: Eti amuachie Mbowe, kwani Mbowe kakamatwa na Mh. Rais? Makosa ya Mbowe ni kabla hata Mh. Samia hajawa Rais wa nchi yetu. Hivi nyie watu mnaelewa au kazi kupiga kelele tu. Kesi mnasikiliza, mashtaka ya Mbowe ni kabla hata Samia hajawa Rais, sasa Samia amuachie kwa lipi?
Kimsingi cdm wanaugonjwa wa kupenda Kama kipofu, bila kuchuja kipi kizr au kibaya, wapo Kama mfereji wa maji unafuata tu mkondo wa maji...Chadema!
Mbona mnatulazimisha kile mnachokitaka tu?
We jamaa kwani ni Serikali ya CCM ilyokuwepo kabla ama baada ya kumukamata?, hivi ni kitu gani kinachopelekea watu kuondoa ubongo kwenye vichwa vyenu? Rais Samia ameanza vizuri kutengeneza mashimo na mioyo ilivonjwa na watu miongoni mwenu.,mi nikimwona kama Rais asie na visasi na siasa za utulivu, Rais anayejua upinzani si uadui. Huyu ndy anafaa kuongoza nchi ambayo angalau wananchi wameanza kuamka na kujua haki zao. Ninyi mnataka avae koti lenye chawa wa utawala uliopita ili iweje? Mama Samia hongera kwa Mwanzo mwema unaoliponya Taifa na mipasuiko isyo na Tija. Usikubali genge la walafi likakurudsha nyuma usikubali!!Lissu is naturally arrogant, huwezi tumia lugha hiyo kuongea na Mh. Rais yeyote yule..
Huwezi mlazimisha Mh. Rais afanye anayotaka Lissu. By the way who is Lissu?
1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.
2: Katiba Mpya, sio kitu cha kukurupuka na kuanza, ina mambo mengi, mojawapo ni fedha, na kama haipo katika priority Mh. Rais huwezi kum force afanye.
3: Eti amuachie Mbowe, kwani Mbowe kakamatwa na Mh. Rais? Makosa ya Mbowe ni kabla hata Mh. Samia hajawa Rais wa nchi yetu. Hivi nyie watu mnaelewa au kazi kupiga kelele tu. Kesi mnasikiliza, mashtaka ya Mbowe ni kabla hata Samia hajawa Rais, sasa Samia amuachie kwa lipi?
[emoji871]Lissu alipaswa kuitumia busara zaidi kwenye hili jambo,badala ya anavyofanya hivi sasa.Kimsingi cdm wanaugonjwa wa kupenda Kama kipofu, bila kuchuja kipi kizr au kibaya, wapo Kama mfereji wa maji unafuata tu mkondo wa maji...
Lissu sio mtu wa kuaminiwa kabisaLissu amechanganyikiwa.
Wewe ndio hutumii busara ndio maana unapigwa Kamba mtu mzima. Unawezaje kuamini story badala ya kupewa video, ujionee hayo mazungumzo mwenyewe kabisa na mood za wazungumzaji. Mnazungukwa bila kujijua.[emoji871]Lissu alipaswa kuitumia busara zaidi kwenye hili jambo,badala ya anavyofanya hivi sasa.
[emoji871]Yaani ndani ya masaa 48 tangu wamekutana na SSH.
[emoji871]Na Lissu anajua kabisa kwamba Mh Rais,anahitaji muda ili arudi nchini na kuona jinsi ya kushughulikia ombi lake.ikiwemo pia kupata ushauri zaidi.
[emoji871]Lissu amemaliza Media zote akibwabwaja ovyo.
Ni kama vile analazimisha agenda zake kufanyiwa kazi vile anavyotaka yeye bila hata kumsubiri mheshimiwa kurudi nyumbani.
Binuka nikubamize.Hujawahi na hutowahi kuwa na akili wew
Iko clear my sisterYeye na wewe nani kadumaa jombiii??
Rais ndio alifuta?Mkuu, kwa hiyo alipofuta kesi ya masheik wa uamsho aliingilia uhuru wa mahakama?!
Na anaposema wamefuta kesi zote za Lissu anakosea?!