Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Nani anataka Mikutano ya kisiasa, bado anaishi dunia ya 90s, watu wanarundikana kusikiliza uongo wa wanasiasa siku hizi vijana hawana huo muda wanatafuta mijihela tu pia Corona ipo kila Pembe.
 
Kwahiyo aingilie uhuru wa Mahakama.
Swala la Passport nalo ni issue ya kumwambia rais ? Hata kamishina wa uhamiaji angemuambia awaone vijana wake.
Naungana na askofu Bagonza iko issue kwa kichwa huyu.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Huyu gaidi afungwe harahara kwasababu mate yamekuwa mengi kwa wanaharakati uchwara...ushahidi umenyooka hivyo alafu hawa watu wa space wanajitoa ufahamu...

Mualifu ni mualifu tu hata dunia ipige kelele hatashugulikiwa..iwefundisho kwa vizazi vijavyo.
KInyeo chako kinawasha
 
Tundu Lissu kwenye maria space ameulizwa anaamini Mhe. Rais atafanyia Kazi Yale waliyojadiliana? Kwa majibu yake ni kwamba, kipimo kinaanza na kesi ya Mbowe. Asipomtoa tarehe 18/02/2022 ni shauri yake. Picha amepata ila furaha iliyotokana na hiyo picha itaondoka Kwa zaidi ya 50%.

Wakimnyima pasipoti ataenda umoja wa Ulaya au Ubelgiji kuomba travel document arudi nyumba kama alivyoahidi.

Asiporuhusu mikutano yeye atarejea na kuendeleza siasa wakitaka wamkamate wampeleke gereza akaungane na Mbowe.

Kuhusu usalama wake amedai asipohakikishiwa usalama atarudi na litakalompata nature itaamua.

Kwa upande wa Katiba mpya amedai hakuna kurudi nyuma.

Kwa kuhitimisha; amesema wapo tayari kushirikiana na Rais kwenye mambo yanayoliponya Taifa. Ambayo categorically alimweleza Rais Jana.

Aidha ametaka Rais aamue kuwa Angela Markel wa Tanzania au Joyce Banda wa Tanzania.

Mzigo anao Rais yeye Hana Cha kupoteza politically Wala vinginevyo.

Lissu is naturally arrogant, huwezi tumia lugha hiyo kuongea na Mh. Rais yeyote yule..

Huwezi mlazimisha Mh. Rais afanye anayotaka Lissu. By the way who is Lissu?

1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.

2: Katiba Mpya, sio kitu cha kukurupuka na kuanza, ina mambo mengi, mojawapo ni fedha, na kama haipo katika priority Mh. Rais huwezi kum force afanye.

3: Eti amuachie Mbowe, kwani Mbowe kakamatwa na Mh. Rais? Makosa ya Mbowe ni kabla hata Mh. Samia hajawa Rais wa nchi yetu. Hivi nyie watu mnaelewa au kazi kupiga kelele tu. Kesi mnasikiliza, mashtaka ya Mbowe ni kabla hata Samia hajawa Rais, sasa Samia amuachie kwa lipi?
 
Huyu gaidi afungwe harahara kwasababu mate yamekuwa mengi kwa wanaharakati uchwara...ushahidi umenyooka hivyo alafu hawa watu wa space wanajitoa ufahamu...

Mualifu ni mualifu tu hata dunia ipige kelele hatashugulikiwa..iwefundisho kwa vizazi vijavyo.
Tatizo lenu Machangu doa
 
Kwahiyo aingilie uhuru wa Mahakama.
Swala la Passport nalo ni issue ya kumwambia rais ? Hata kamishina wa uhamiaji angemuambia awaone vijana wake.
Naungana na askofu Bagonza iko issue kwa kichwa huyu.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Lisu ni mbobezi katika sheria, je unaamini kwamba hakufuata utaratibu wakuomba passport mpya kabla hajakutana na rais?
Au ulitaka awe anasema ni jinsi gani uhamiaji wanasita kumsaidia tangia passport yake ilipoibiwa? Hakika mngekuja juu nakusema ameishiwa analalamikia petty issues. Mambo yote waliyoyajadiri ndani ya lisaa limoja ni misumari ya moto kwa walamba matumbo
 
Lissu is naturally arrogant, huwezi tumia lugha hiyo kuongea na Mh. Rais yeyote yule..

Huwezi mlazimisha Mh. Rais afanye anayotaka Lissu. By the way who is Lissu?

1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.

2: Katiba Mpya, sio kitu cha kukurupuka na kuanza, ina mambo mengi, mojawapo ni fedha, na kama haipo katika priority Mh. Rais huwezi kum force afanye.

3: Eti amuachie Mbowe, kwani Mbowe kakamatwa na Mh. Rais? Makosa ya Mbowe ni kabla hata Mh. Samia hajawa Rais wa nchi yetu. Hivi nyie watu mnaelewa au kazi kupiga kelele tu. Kesi mnasikiliza, mashtaka ya Mbowe ni kabla hata Samia hajawa Rais, sasa Samia amuachie kwa lipi?
kwa ushahidi ule kesi haipo so ilikua sahihi mbowe aachiwe
 
Ukweli ndio huo Samia aamue kusuka au kunyoa, alichofanya Lissu kwenye mazungumzo yao kumuomba hiki na kile ni kumpa heshima kama mkuu wa nchi, kama akiikataa heshima aliyopewa Lissu atafanya anachostahili sababu ni haki yake hajavunja sheria yoyote.
 
Back
Top Bottom