Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Kuhusu mikutano ya kisiasa sheria ipo wazi kabisa namna utaratibu unavyokuwa sasa hilo kundi wanataka wajifanyie kama wanavyotaka wao na sio sheria inavyosema( law as it is),pili suala la katiba mpya huu mgogoro ukiangalia kwa undani zaidi unaona kabisa ni mgogoro wa vyama pinzani na serikali na kikubwa vyama pinzani cdm wakiwa mbele ni kutaka nafasi za uongozi katika serikali sababu mwananchi anataka maendeleo ambayo yanaweza kupatikana hata kwa hii katiba iliyopo ambayo kiukweli mwananchi wa kawaida hamletei shida yoyote zaidi ya hao wanaotaka nchi igawanywe nao wapate kutawala(Serikali za majimbo),cdm mambo ya katiba mpya mmeferi hiyo sera imefeli kwa mwananchi ndio maana wenzenu wamerudi nyuma kitambo jipangeni na sera zingine mashiko na kwa taarifa huyo aliyopo ulaya sio mwanasiasa ni mwanaharakati anawapotosha hamjui tu atawaletea balaa kubwa ndani ya chama au chama kufa na kusambaratika kabisa.
 
Markel hakuingilia mahakama kufuta kesi… labda Joyce Banda alifanya hivyo

Samia will be markel on this one for sure
Mkuu, kwa hiyo alipofuta kesi ya masheik wa uamsho aliingilia uhuru wa mahakama?!
Na anaposema wamefuta kesi zote za Lissu anakosea?!
 
Swala la katiba mpya sio Option

Alichokiongea Lissu kina ubaya gani?

Watu roho mbaya mmefura
Sasa kulikuwa na haja gani ya kuzungumza nae rais? Ameenda kufanya kuwa ni issue ya rais kufuata maagizo ya Lissu. Kwa rais alikuwa hajui hilo suala la katiba mpya? Alikuwa analijua, sasa mantiki ya mazungumzo na Lissu ni ipi hapo?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Lissu is naturally arrogant, huwezi tumia lugha hiyo kuongea na Mh. Rais yeyote yule..

Huwezi mlazimisha Mh. Rais afanye anayotaka Lissu. By the way who is Lissu?

1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.

2: Katiba Mpya, sio kitu cha kukurupuka na kuanza, ina mambo mengi, mojawapo ni fedha, na kama haipo katika priority Mh. Rais huwezi kum force afanye.

3: Eti amuachie Mbowe, kwani Mbowe kakamatwa na Mh. Rais? Makosa ya Mbowe ni kabla hata Mh. Samia hajawa Rais wa nchi yetu. Hivi nyie watu mnaelewa au kazi kupiga kelele tu. Kesi mnasikiliza, mashtaka ya Mbowe ni kabla hata Samia hajawa Rais, sasa Samia amuachie kwa lipi?
Kesi ya wale masheikh ilikuwa baada ya Samia kuwa rais?!
Na hizo kesi za Lissu ambazo rais anasema wamezifuta zilianza baada ya yeye kuwa rais?!
 
kiongozi mzuri unapaswa kuwa mtulivu na sio kupayuka payuka...mmeshazungumza, mlichozungumza mnajua wenyewe, unaanza kupayuka payuka kila kukicha matokeo yake mliozungumza wataona unawapa amri sasa au kuwaoverride..
Mbona Zuhura Yunus anaporipoti mambo yaliyozungumzwa na Rais hamsemi hayo? Nyie mmezoea kufichwa fichwa mambo ya kitaifa eti kwamba ni siri ya viongozi, hata bunge mkafungiwa na kuona Sawa, hata mikataba yote ikawa siri mpaka bungeni haipelekwi. Shida yenu hamuupendi ukweli...
 
Nani anataka Mikutano ya kisiasa, bado anaishi dunia ya 90s, watu wanarundikana kusikiliza uongo wa wanasiasa siku hizi vijana hawana huo muda wanatafuta mijihela tu pia Corona ipo kila Pembe.
Ila kwenye matamasha ya bongo fleva mnakojazana na vichupa vyenu vya K Vant na smart gin hakuna Corona??
 
Inaonekana mazungumzo ya mama na Lissu hayakua mazuri
 
Kwahiyo aingilie uhuru wa Mahakama.
Swala la Passport nalo ni issue ya kumwambia rais ? Hata kamishina wa uhamiaji angemuambia awaone vijana wake.
Naungana na askofu Bagonza iko issue kwa kichwa huyu.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Uliwahi kujiuliza ilikuwaje Mange Kimambi akasota kupata passport mpaka majuzi alipomuomba Rais? Punguzeni ujuaji na kuwashwa washwa..
 
kiongozi mzuri unapaswa kuwa mtulivu na sio kupayuka payuka...mmeshazungumza, mlichozungumza mnajua wenyewe, unaanza kupayuka payuka kila kukicha matokeo yake mliozungumza wataona unawapa amri sasa au kuwaoverride
kuna kitu nilitaka kuchangia hapa lakini kitufe(button) cha baobonye(keyboard) kime nasa
 
Bahati njema ya Lissu kuponyoka mysteriously kutoka kwenye mdomo wa kifo kumemfanya awe na moyo sugu. Kifo na uhai kwake havina tofauti.
Acha uzushi wewe, hivi ni nani alikimbilia ubalozini? Ni nani alipewa escort ya mabalozi kwenda airport?
Usimjaze upepo jamaa yako anaesumbuliwa na grandiosity.
 
Lissu,Kwa sababu,anasema wasipo mpa passport,atapata EU travel pass,wasiporuhusu mikutano,atafanya Kwa lazima nk. Frustration language
Never... TAL kashika mpini.. Mikopo na misaada inayotoka sasa ina masharti ya kumwachia huru Mbowe na kumfutia TAL kesi zake zote
 
Inaonekana mazungumzo ya mama na Lissu hayakua mazuri
Hayakuwa na maana kwa sababu hata kwa kutumia twitter tu Lissu angeweza kumpa mkuu wa nchi hayo maelekezo ayatekeleze, maana anachoendelea kukifanya Lissu kifanya yale mazungumzo yake faragha na rais kuwa hayana maana.
 
Back
Top Bottom