Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Tundu Lissu: Rais Samia aamue kubaki na picha au kubakiza furaha Kwa Wananchi

Tundu Lissu kwenye maria space ameulizwa anaamini Mhe. Rais atafanyia Kazi Yale waliyojadiliana? Kwa majibu yake ni kwamba, kipimo kinaanza na kesi ya Mbowe. Asipomtoa tarehe 18/02/2022 ni shauri yake. Picha amepata ila furaha iliyotokana na hiyo picha itaondoka Kwa zaidi ya 50%.

Wakimnyima pasipoti ataenda umoja wa Ulaya au Ubelgiji kuomba travel document arudi nyumba kama alivyoahidi.

Asiporuhusu mikutano yeye atarejea na kuendeleza siasa wakitaka wamkamate wampeleke gereza akaungane na Mbowe.

Kuhusu usalama wake amedai asipohakikishiwa usalama atarudi na litakalompata nature itaamua.

Kwa upande wa Katiba mpya amedai hakuna kurudi nyuma.

Kwa kuhitimisha; amesema wapo tayari kushirikiana na Rais kwenye mambo yanayoliponya Taifa. Ambayo categorically alimweleza Rais Jana.

Aidha ametaka Rais aamue kuwa Angela Markel wa Tanzania au Joyce Banda wa Tanzania.

Mzigo anao Rais yeye Hana Cha kupoteza politically Wala vinginevyo.
Ovyoo mtu mzima ovyooo
 
Lissu is naturally arrogant, huwezi tumia lugha hiyo kuongea na Mh. Rais yeyote yule..

Huwezi mlazimisha Mh. Rais afanye anayotaka Lissu. By the way who is Lissu?

1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.

2: Katiba Mpya, sio kitu cha kukurupuka na kuanza, ina mambo mengi, mojawapo ni fedha, na kama haipo katika priority Mh. Rais huwezi kum force afanye.

3: Eti amuachie Mbowe, kwani Mbowe kakamatwa na Mh. Rais? Makosa ya Mbowe ni kabla hata Mh. Samia hajawa Rais wa nchi yetu. Hivi nyie watu mnaelewa au kazi kupiga kelele tu. Kesi mnasikiliza, mashtaka ya Mbowe ni kabla hata Samia hajawa Rais, sasa Samia amuachie kwa lipi?
Mimi niko humu leo kuhesabu idadi ya wajinga waliomo humu na wewe ni wa 7 wanaofikiria kwamba rais ni Mungu na hata Magufuli alifikiri hivyo hivyo na Mungu akasema, huu ni ujinga, akamuondoa duniani.

Huyo rais angekuwa kama unavyomfikiria hivyo asingekuwa anakuja kwa wananchi kuomba wampatie hiyo fursa ya kuwa huyo mnayemwita rais.

Tundu Lissu ameelezea msimamo wake na wa chama chake sasa kosa lake nini. Tatizo lenu mmeshazoea wote kujipendekeza ili mpatiwe namna ya kuganga njaa lakini wakati mkiganga njaa lazima muelewe kwamba wote hawawezi kuwa wachumia tumbo kama nyie.
 
Raisi Samia tupe raha Wananchi wako kwa kumuachia Mwamba.
 
1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.
Kwaivo umeshakuwa Mama ghafla mara hii?
icon_rolleyes.gif
 
Nani anataka Mikutano ya kisiasa, bado anaishi dunia ya 90s, watu wanarundikana kusikiliza uongo wa wanasiasa siku hizi vijana hawana huo muda wanatafuta mijihela tu pia Corona ipo kila Pembe.
Kama wewe hutaki si wewe.kwanini uwasemee wengine.Alafu nyie mnaojifanyaga hamnazo ndo mnakuaga wakwanza kulalama mambo yanapokua ndivyo sivyo.Kelele za siasa ni muhimu sana ili kuwaamsha watawala.Kila mtu akisema akae kimya unadhani nchi itakuaje.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Huyu gaidi afungwe harahara kwasababu mate yamekuwa mengi kwa wanaharakati uchwara...ushahidi umenyooka hivyo alafu hawa watu wa space wanajitoa ufahamu...

Mualifu ni mualifu tu hata dunia ipige kelele hatashugulikiwa..iwefundisho kwa vizazi vijavyo.
Para ya mwisho ina maanisha nini kusema "hata dunia ipige kelele hatashughuliwa". Mimi imenichanganya.
 
Kuna watu kwenye nchi hii wanamwona rais kama ndo mungu mtu yaani kila kitu raisi wakati rais nae huwa anakosea na ni binadamu tu, rais nae ni mtumishi tu wa wananchi anapokosea lazima aambiwe directly
 
Lissu is naturally arrogant, huwezi tumia lugha hiyo kuongea na Mh. Rais yeyote yule..

Huwezi mlazimisha Mh. Rais afanye anayotaka Lissu. By the way who is Lissu?

1: Mikutano ya kisiasa kabla ya muda wa kampeni hilo halipo milele, ataozea jela Lissu, na Lissu alivyomuoga atakimbia nchi hata kabla hajakamatwa.

2: Katiba Mpya, sio kitu cha kukurupuka na kuanza, ina mambo mengi, mojawapo ni fedha, na kama haipo katika priority Mh. Rais huwezi kum force afanye.

3: Eti amuachie Mbowe, kwani Mbowe kakamatwa na Mh. Rais? Makosa ya Mbowe ni kabla hata Mh. Samia hajawa Rais wa nchi yetu. Hivi nyie watu mnaelewa au kazi kupiga kelele tu. Kesi mnasikiliza, mashtaka ya Mbowe ni kabla hata Samia hajawa Rais, sasa Samia amuachie kwa lipi?
We mala.ya takataka,mikutano wanayofanya CCM nchi nzima ni kipindi cha kampeni hiki?
unaongea kama unasukumiwa kitu kigumu.
 
Tundu Lissu kwenye maria space ameulizwa anaamini Mhe. Rais atafanyia Kazi Yale waliyojadiliana? Kwa majibu yake ni kwamba, kipimo kinaanza na kesi ya Mbowe. Asipomtoa tarehe 18/02/2022 ni shauri yake. Picha amepata ila furaha iliyotokana na hiyo picha itaondoka Kwa zaidi ya 50%.

Wakimnyima pasipoti ataenda umoja wa Ulaya au Ubelgiji kuomba travel document arudi nyumba kama alivyoahidi.

Asiporuhusu mikutano yeye atarejea na kuendeleza siasa wakitaka wamkamate wampeleke gereza akaungane na Mbowe.

Kuhusu usalama wake amedai asipohakikishiwa usalama atarudi na litakalompata nature itaamua.

Kwa upande wa Katiba mpya amedai hakuna kurudi nyuma.

Kwa kuhitimisha; amesema wapo tayari kushirikiana na Rais kwenye mambo yanayoliponya Taifa. Ambayo categorically alimweleza Rais Jana.

Aidha ametaka Rais aamue kuwa Angela Markel wa Tanzania au Joyce Banda wa Tanzania.

Mzigo anao Rais yeye Hana Cha kupoteza politically Wala vinginevyo.
Kwa hiyo mwanasheria anayesifiwa, anataka rais aingilie maamuzi ya mahakama? He must be rubbish!
 
Back
Top Bottom