Tundu Lissu: Sabaya siyo mkosaji wa kisiasa ni jambazi

Tundu Lissu: Sabaya siyo mkosaji wa kisiasa ni jambazi

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alihojiwa na Dar 24 Media siku chache zilizopia. Akiwa katika mahojiano hayo Lissu amezungumza masuala mengi yanayohusu mwenendo wa kisiasa nchini.

Aidha alipoulizwa kuhusu kumchukulia Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Hai, Lengai Ole Sabaya kama Mkosaji wa kisiasa, Tundu Lissu alipinga kwa kueleza kuwa kiongozi huyo hafai kuchukuliwa kama Mfungwa wa kisiasa, asema kiongozi huyo ni jambazi. Katika hilo Lissu amesema:



Mwandishi: Ukimtazama Sabaya anastahiki kuachiwa kama mkosaji wa kisiasa.

Lissu: Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi.

Mwandishi: Unahukumu Tundu

Lissu: Amehukumiwa! Ni mimi ndiyo nimemhukumu? Amehukumiwa kwa Ujambazi wa kutumia silaha. Na ambayo tunayafahamu sisi aliyoyafanya. Angeshtakiwa kwa yote ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote.

Mwandishi: Lakini alikuwa anafanya kwa utashi wa kisiasa!

Lissu: Sio kwa utashi wa kisiasa, hakuna utashi wa kisiasa kwa kufanya makosa ya jinai. Wakwetu amesingiziwa, Sabaya hajasingiziwa. Shida yangu mimi na serikali ya Samia ni hii, kina Sabaya wapo wengi ajabu.

Mwandishi: Wapo uraiani?

LIssu: Ndiyo wapo Uraiani.

Mwandishi: Kama nani?

Lissu: Mfano: Paul Makonda anatakiwa ashughulikiwe. Makosa mengine ameyafanya waziwazi kabisa. Amenyang'anya watu magari, nyumba. Amevamia Clouds.

Mwandishi: Una Ushahidi?

Lissu: Upo! Umeonekana. Nakwambia kuna kina Sabaya wengi sana. Watu waliokuwa wanawanyang'anya watu mali na kuwafungulia makosa ya uongo haya. Kina DPP Mganga Biswalo leo jaji. Namsikia Mama juzi anasema wanawanyang'anya watu hela wanazipeleka China. Wote hawa walifanya makosa ya jinai wanapaswa kushughulikiwa kijinai. Lakini anachukuliwa Sabaya anakaangwa peke yake. That's my only regret. Na hiyo inaleta taswira kwamba pengine labda kuna sababu zingine zingine.

Mwandishi: Kwa nani?

Lissu: Kwa Sabaya, lakini the fact kwamba anang'ang'aniwa peke yake wakati waliotenda makosa kama haya wengi.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alihojiwa na Dar 24 Media siku chache zilizopia. Akiwa katika mahojiano hayo Lissu amezungumza masuala mengi yanayohusu mwenendo wa kisiasa nchini.

Aidha alipoulizwa kuhusu kumchukulia Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Hai, Lengai Ole Sabaya kama Mwanaharakati wa kisiasa, Tundu Lissu alipinga kwa kueleza kuwa kiongozi huyo hafai kuchukuliwa kama Mwanaharakati wa kisiasa, asema kiongozi huyo ni jambazi. Katika hilo Lissu amesema:
Very kweli
 
20230208_111830380.jpg

Sabaya Jambazii!!!,😂😂 kina Sabaya wako wengi sana...👏👏
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alihojiwa na Dar 24 Media siku chache zilizopia. Akiwa katika mahojiano hayo Lissu amezungumza masuala mengi yanayohusu mwenendo wa kisiasa nchini.

Aidha alipoulizwa kuhusu kumchukulia Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Hai, Lengai Ole Sabaya kama Mkosaji wa kisiasa, Tundu Lissu alipinga kwa kueleza kuwa kiongozi huyo hafai kuchukuliwa kama Mfungwa wa kisiasa, asema kiongozi huyo ni jambazi. Katika hilo Lissu amesema:

View attachment 2510359

Mwandishi: Ukimtazama Sabaya anastahiki kuachiwa kama mkosaji wa kisiasa.

Lissu: Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi.

Mwandishi: Unahukumu Tundu

Lissu: Amehukumiwa! Ni mimi ndiyo nimemhukumu? Amehukumiwa kwa Ujambazi wa kutumia silaha. Na ambayo tunayafahamu sisi aliyoyafanya. Angeshtakiwa kwa yote ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote.

Mwandishi: Lakini alikuwa anafanya kwa utashi wa kisiasa!

Lissu: Sio kwa utashi wa kisiasa, hakuna utashi wa kisiasa kwa kufanya makosa ya jinai. Wakwetu amesingiziwa, Sabaya hajasingiziwa. Shida yangu mimi na serikali ya Samia ni hii, kina Sabaya wapo wengi ajabu.

Mwandishi: Wapo uraiani?

LIssu: Ndiyo wapo Uraiani.

Mwandishi: Kama nani?

Lissu: Mfano: Paul Makonda anatakiwa ashughulikiwe. Makosa mengine ameyafanya waziwazi kabisa. Amenyang'anya watu magari, nyumba. Amevamia Clouds.

Mwandishi: Una Ushahidi?

Lissu: Upo! Umeonekana. Nakwambia kuna kina Sabaya wengi sana. Watu waliokuwa wanawanyang'anya watu mali na kuwafungulia makosa ya uongo haya. Kina DPP Mganga Biswalo leo jaji. Namsikia Mama juzi anasema wanawanyang'anya watu hela wanazipeleka China. Wote hawa walifanya makosa ya jinai wanapaswa kushughulikiwa kijinai. Lakini anachukuliwa Sabaya anakaangwa peke yake. That's my only regret. Na hiyo inaleta taswira kwamba pengine labda kuna sababu zingine zingine.

Mwandishi: Kwa nani?

Lissu: Kwa Sabaya, lakini the fact kwamba anang'ang'aniwa peke yake wakati waliotenda makosa kama haya wengi.
Akina Sabaya waliobaki uraiani kama Paul Makonda washughulikiwe!
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alihojiwa na Dar 24 Media siku chache zilizopia. Akiwa katika mahojiano hayo Lissu amezungumza masuala mengi yanayohusu mwenendo wa kisiasa nchini.

Aidha alipoulizwa kuhusu kumchukulia Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Hai, Lengai Ole Sabaya kama Mkosaji wa kisiasa, Tundu Lissu alipinga kwa kueleza kuwa kiongozi huyo hafai kuchukuliwa kama Mfungwa wa kisiasa, asema kiongozi huyo ni jambazi. Katika hilo Lissu amesema:

View attachment 2510359

Mwandishi: Ukimtazama Sabaya anastahiki kuachiwa kama mkosaji wa kisiasa.

Lissu: Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi.

Mwandishi: Unahukumu Tundu

Lissu: Amehukumiwa! Ni mimi ndiyo nimemhukumu? Amehukumiwa kwa Ujambazi wa kutumia silaha. Na ambayo tunayafahamu sisi aliyoyafanya. Angeshtakiwa kwa yote ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote.

Mwandishi: Lakini alikuwa anafanya kwa utashi wa kisiasa!

Lissu: Sio kwa utashi wa kisiasa, hakuna utashi wa kisiasa kwa kufanya makosa ya jinai. Wakwetu amesingiziwa, Sabaya hajasingiziwa. Shida yangu mimi na serikali ya Samia ni hii, kina Sabaya wapo wengi ajabu.

Mwandishi: Wapo uraiani?

LIssu: Ndiyo wapo Uraiani.

Mwandishi: Kama nani?

Lissu: Mfano: Paul Makonda anatakiwa ashughulikiwe. Makosa mengine ameyafanya waziwazi kabisa. Amenyang'anya watu magari, nyumba. Amevamia Clouds.

Mwandishi: Una Ushahidi?

Lissu: Upo! Umeonekana. Nakwambia kuna kina Sabaya wengi sana. Watu waliokuwa wanawanyang'anya watu mali na kuwafungulia makosa ya uongo haya. Kina DPP Mganga Biswalo leo jaji. Namsikia Mama juzi anasema wanawanyang'anya watu hela wanazipeleka China. Wote hawa walifanya makosa ya jinai wanapaswa kushughulikiwa kijinai. Lakini anachukuliwa Sabaya anakaangwa peke yake. That's my only regret. Na hiyo inaleta taswira kwamba pengine labda kuna sababu zingine zingine.

Mwandishi: Kwa nani?

Lissu: Kwa Sabaya, lakini the fact kwamba anang'ang'aniwa peke yake wakati waliotenda makosa kama haya wengi.
Acha Lisu ateme nyongo, ni muda wake.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alihojiwa na Dar 24 Media siku chache zilizopia. Akiwa katika mahojiano hayo Lissu amezungumza masuala mengi yanayohusu mwenendo wa kisiasa nchini.

Aidha alipoulizwa kuhusu kumchukulia Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Hai, Lengai Ole Sabaya kama Mkosaji wa kisiasa, Tundu Lissu alipinga kwa kueleza kuwa kiongozi huyo hafai kuchukuliwa kama Mfungwa wa kisiasa, asema kiongozi huyo ni jambazi. Katika hilo Lissu amesema:

View attachment 2510359

Mwandishi: Ukimtazama Sabaya anastahiki kuachiwa kama mkosaji wa kisiasa.

Lissu: Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi.

Mwandishi: Unahukumu Tundu

Lissu: Amehukumiwa! Ni mimi ndiyo nimemhukumu? Amehukumiwa kwa Ujambazi wa kutumia silaha. Na ambayo tunayafahamu sisi aliyoyafanya. Angeshtakiwa kwa yote ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote.

Mwandishi: Lakini alikuwa anafanya kwa utashi wa kisiasa!

Lissu: Sio kwa utashi wa kisiasa, hakuna utashi wa kisiasa kwa kufanya makosa ya jinai. Wakwetu amesingiziwa, Sabaya hajasingiziwa. Shida yangu mimi na serikali ya Samia ni hii, kina Sabaya wapo wengi ajabu.

Mwandishi: Wapo uraiani?

LIssu: Ndiyo wapo Uraiani.

Mwandishi: Kama nani?

Lissu: Mfano: Paul Makonda anatakiwa ashughulikiwe. Makosa mengine ameyafanya waziwazi kabisa. Amenyang'anya watu magari, nyumba. Amevamia Clouds.

Mwandishi: Una Ushahidi?

Lissu: Upo! Umeonekana. Nakwambia kuna kina Sabaya wengi sana. Watu waliokuwa wanawanyang'anya watu mali na kuwafungulia makosa ya uongo haya. Kina DPP Mganga Biswalo leo jaji. Namsikia Mama juzi anasema wanawanyang'anya watu hela wanazipeleka China. Wote hawa walifanya makosa ya jinai wanapaswa kushughulikiwa kijinai. Lakini anachukuliwa Sabaya anakaangwa peke yake. That's my only regret. Na hiyo inaleta taswira kwamba pengine labda kuna sababu zingine zingine.

Mwandishi: Kwa nani?

Lissu: Kwa Sabaya, lakini the fact kwamba anang'ang'aniwa peke yake wakati waliotenda makosa kama haya wengi.
Lissu ni clearler kabisa. Leo amemaliza mjadala wa Sabaya na Sabaya et al
 
Hehee lakini kwa kiasi fulani Lissu amemtete Sabaya kuwa anaonewa peke yake wakati wengine wapo.

True! Wapo wengi waliovuma enzi hizo.

Ngoja tusubiri kama waliotajwa wanao ubavu wa kumtaka kuthibitisha.

joni amekuwa akijitendea haki akiwajulisha wenzie ndondo siyo ligi.

Tatizo wengine vichwa panzi, hawasikii. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom