King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sabaya ni jambazi na mbakaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi huwa ni wavivu wa kutafuta kwa akili zao. Wanapenda utajiri kwa njia yoyote.
Hebu tupe huo mkasa wa hoteliniNa mbakaji , rejea alichokifanya kwenye Hotel ya Swai
Kwanza ujue aliyetoa oda ya yeye kushambuliwa ameshakuwa mifupa mitupu.Anawashwa huyu mzee. Hizi siasa huwa zinawatoa akili kabisa. Anachokifanya yeye ni kuwashambulia wenzie kama ambavyo ye alishambuliwa. Tofauti ye anashambulia kwa maneno wakati yeye alishambuliwa kwa silaha.
Kutilia mkazo tu, ni kuwa majambazi kama Sabaya yamejaa tele ndani ya CCM [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2510362
Sabaya Jambazii!!!,[emoji23][emoji23] kina Sabaya wako wengi sana.[emoji122][emoji122]
Sabaya ni gaidi, jambazi, mwizi, mbakaji, haini, mhujumu uchumi, mtakatishaji fedha, yani kiufupi ni criminal ambaye hajawahi kutokea kwenye historia ya nchi yetu.Na mbakaji , rejea alichokifanya kwenye Hotel ya Swai
naye ni muovu. ndiyoKila siku unatetea uovu kulikoni mkuu Jilala
Sema tangu Lissu amerudi amejua kuwajambisha hawa jamaa anawarushia kamba tu halafu wanajinyonga wenyeweKuna sababu zingine zingine......mwisho wa kunukuu.
Kushambuliana kwa maneno ndo siasa yenyewe iyo, mambo ya mabunduki, kubambikiana kesi na kutekana hatutaki hayoAnawashwa huyu mzee. Hizi siasa huwa zinawatoa akili kabisa. Anachokifanya yeye ni kuwashambulia wenzie kama ambavyo ye alishambuliwa. Tofauti ye anashambulia kwa maneno wakati yeye alishambuliwa kwa silaha.
😅😅😅Sema tangu lissu amerudi amejua kuwajambisha hawa jamaa anawarushia kamba tu alafu wanajinyonga wenyewe
Kama kuna mengine zaidi ya yale yanayojulikana basi jamaa alikuwa hatari sanaLabda kunamengine mengine pagumu Sana hapa
Kushambulia kwa mabunduki ni ugaidi na ujambaziKushambuliana kwa maneno ndo siasa yenyewe iyo, mambo ya mabunduki, kubambikiana kesi na kutekana hatutaki hayo