SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sabaya huyu ni wa kunyongwa hadi afe. Kama amekiri makosa ni kwa kesi zilizokuwa Mahakamani,hatujamaliza, kuna kesi lukuki zinapelekwa Mahakamani soon. Huyu atafia jela tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app