johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa mujibu wa KatibaEnzi za magufuli hata kichaa alikua anaweza kuwa mkuu wa KUU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa KatibaEnzi za magufuli hata kichaa alikua anaweza kuwa mkuu wa KUU.
Sasa kama anajua mbona anaongea pumba?Kwa hiyo kwenye issue za sheria na mahakama unaweza kujua kuliko Lisu?
muda mwingine hua unauficha kabisa utashi wako ,aise[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Jambazi angekuwaje Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?
Sasa kama anajua mbona anaongea pumbaKwa hiyo kwenye issue za sheria na mahakama unaweza kujua kuliko Lisu?
Sasa kama anajua mbona anaongea pumba?
Usizungumze kwa kuhemka kwa sababu tu kasema Tundu Lisumuda mwingine hua unauficha kabisa utashi wako ,aise
unaacha kushughulika na matatizo ywananchi unahangaika na sabaya stupid
Amekuwa mwenyekiti ili ayalinde majambawazi myenzie🏃🏃😂Naona upo nyuma ya muda mkuu
Na alikiri mbele ya hakimu hayo matendo yake ya kishenzi.Huo ndio ukweli halisi Sabaya ni jambazi,jangili & gaidi.
Yes, mbona Jiwe alifikia mpaka kuwa Rais wa nchi ili hali ni mwuovu hatari. Ndiyo maana alikuwa anachagua waovu wenzake kama Saambaya na Bashite[emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Jambazi angekuwaje Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?
Mzee Mgaya, unauliza maswali ya aina gani tena!!Kwahiyo DSO na OCD walishindwa kumtambua?
1980s Katibu wa CCM Ruvuma alikamatwa na meno ya tembo!Mzee Mgaya, unauliza maswali ya aina gani tena!!
Katika hali ya kawaida kabisa, na kwa aina ya uhusiano uliokuwepo kati ya huyo Sabaya na mamlaka ya nchi kipindi hicho; hao DSO na OCD wangepata wapi ujasiri wa kumripoti Sabaya?
Unauliza maswali as if kipindi hicho ulikuwa unaishi Cuba!!
🤩🤩🤩
Jambazi angekuwaje Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?Unashangaa nini wakati tumeona marais, mawaziri nk ambao ni majambazi
Aliyesema hivi yeye ndio jambazi la "LBGTQ+" asifikiri huyo mtawala aliyepo madarakan atakuwepo kwenye hicho kiti milele, hii kauli atakuja kuilipia gharama."Lengai Ole Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi, na amehukumiwa kwa ujambazi.
Angeshtakiwa kwa yote ambayo aliyoyafanya na ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote" TunduALissu,
View attachment 2580784
Kwa sababu alisimikwa na jambazi mkuu.🤩🤩🤩
Jambazi angekuwaje Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?