joe78
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 315
- 356
Tunamsubiri boma ng'ombe,tutampata tu hata Kama muda utapita kwasababu Hana Tena jeuri ya kutufanya chochote.Unaweza kukwepa mkono wa sheria lakini si mkono Mungu
Kama ni kweli sabaya aliwatende mabaya watu awatafute haraka sana awaombe msamaha.