Hapana, yeye ndiyo chanzo cha sabaya kwenda jela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, yeye ndiyo chanzo cha sabaya kwenda jela
IGP SIRO ATAJWA WIZI MABILIONI YA MAAFA POLISI..🤩🤩🤩
Jambazi angekuwaje Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama?
Nchi ngumu sana hii 😂😂😂IGP SIRO ATAJWA WIZI MABILIONI YA MAAFA POLISI..
MFUNGWA ALIYETOROKA AFRIKA KUSINI ADAKWA ARUSHA.*
SOMA MAGAZETI YA LEO JPILI APRILI 9,2023
![]()
IGP SIRO ATAJWA WIZI MABILIONI YA MAAFA POLISI,SOMA MAGAZETI YA LEO JPILI APRILI 9,2023
a24habari.blogspot.com
Vipi ugaidi wa Mwenyekiti."Lengai Ole Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi, na amehukumiwa kwa ujambazi.
Angeshtakiwa kwa yote ambayo aliyoyafanya na ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote" TunduALissu,
View attachment 2580784
Endelea kuota tu wanajuana wale hawafungani hata siku moja, fanya ewe uone ndani ya mwezi unatumikia kifugo jela.Sabaya hakustahili kurudi uraiani.
Wapenzi wa Sabaya wakitoa yaliyo moyoni.Endelea kuota tu wanajuana wale hawafungani hata siku moja, fanya ewe uone ndani ya mwezi unatumikia kifugo jela.
Jambazi kubwa Sana mh Lisu!"Lengai Ole Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi, na amehukumiwa kwa ujambazi.
Angeshtakiwa kwa yote ambayo aliyoyafanya na ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote" TunduALissu,
View attachment 2580784
Kama uhalifu wake unakosa ushahidi basi ni lazima kituo kinachofuata ni "mob justice" tu. Kwa jinsi ninavyowatambua wakazi wa Arusha na Kilimanjaro, hasa watu matajiri, sera zao ni jino kwa jino."Lengai Ole Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi, na amehukumiwa kwa ujambazi.
Angeshtakiwa kwa yote ambayo aliyoyafanya na ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote" TunduALissu,
View attachment 2580784
Ninyi wote ni kuzoa kwenye malori ya taka na kutoswa kwenye shimo juu ya mlima Kilimanjaro kuondoa nuksi zenu majizi makubwa. Mmemwonea kijana wa watu halafu mje muachwe tu mkitamba mitaani kwamba mlimkomesha hilo halipo.Ondoa upuuzi wako hapa. Huyo atakuwa rais wa familia yako labda.
Unaridhiana kwa kitu gani? Kuridhiana kati ya Mbowe na rais siokuridhiana Watanzania kwa hiyo ni kazi bure bado mna safari ndefu sana maana mtalipia gharama zake huko mbeleniShida iko wapi wewe usiyependa watu waridhiane? Ulifurahia sana kuona wenzako wakiumizwa, kwasasa kuna amani unachukia. Wewe ni binadamu mwovu kabisa.
Mitaa hii hii ya Arusha mjini au………..?……..Jambazi akikiri analipa 5m na kuendelea kudunda mitaani!
Sa watakula wapi ikiwa hawana vitage uchumi vinavyoeleweka hapa mjini, lazima wajikombe hata kwenye mambo machafu.Vipi kuhusu mashoga na wasagaji? Tuliwaona Lisu na fatuma kalume wakiwatetea kwa hoja na ufasaha
Duu jamani!Wakamsulubu vizuri huko uraiani. Haina jinsi maana watu wana hasira naye mno.
Atakayeanza kufa ni wewe kabla hujanyanyua mkono wako mark my words with emphasis. Ndio maana kile kinachoitwa maridhiano ni utapeli mtupu na wote mnaojitangaza kushadadia siku yaja mtajuta kwanini mlijidanganya wenyewe badala ya kuwaheshimu WatanzaniaKama uhalifu wake unakosa ushahidi basi ni lazima kituo kinachofuata ni "mob justice" tu. Kwa jinsi ninavyowatambua wakazi wa Arusha na Kilimanjaro, hasa watu matajiri, sera zao ni jino kwa jino.
Ngoja tusubiri na tuyaone maisha mapya ya Sabaya baada ya kutoka kolokoloni. Namshauri aondoke mara moja kimakazi na aende kuishi mikoa mingine, hata akapige shule nje ya nchi kwa miaka kadhaa ili kulifanyia jambo hili lipitie kwa njia ya "demage control".
Wahenga husema, "sikio lisikilizalo haliwezi kutengwa na kichwa"
Maridhiano na nani na kwa kitu gani kilichotendeka? Mambo binafsi msiyafanye ya kitaifa wezi ninyi. Maridhiano wezi kwa wezi kwa kudhulumiana ugali!!!Maridhiano ni tiba dhidi ya chuki wewe. Kwa arguments zako bila shaka wewe ni sadist.
Chagga acheni chuki na kijana wa watu!! mbona mnachuki Sana !!!!?mahakama imemuona Hana hatua na kumuachia huru ,itafukia kipindi hata mkipeleka mashtaka mapya mahakama zitaona hizi Sasa ni chuki,na watatupilia mbali mashtaka .Sabaya huyu ni wa kunyongwa hadi afe. Kama amekiri makosa ni kwa kesi zilizokuwa Mahakamani,hatujamaliza, kuna kesi lukuki zinapelekwa Mahakamani soon. Huyu atafia jela tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wala sina mapenzi yeyote, nimemfahamu akiwa mahakamani sina chochote kwake, mie hujanielewa tu sisiem hawafungani hata siku moja, huwa na nguvu ya soda kisha huyo, unakumbuka wale wale wazee waliishia kufagia barabara, wewe kapuku usiye mwenzao uone cha mtemakuniWapenzi wa Sabaya wakitoa yaliyo moyoni,l