johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Lala salama ya uchaguzi zikiwa zimebaki siku 8 ( one digit) inaanza leo ambapo Tundu Lissu atakuwa Hai mkoani Kilimanjaro akiwa na Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula na mgombea urais wa Zanzibar maalim Seif.
Kipenzi cha Watanzania Dkt. Magufuli akiwa na komredi Polepole wao wanaanzia Bagamoyo mkoani Pwani wakielekea Korogwe Tanga.
Habari ndio hiyo, kumeshakucha!
Maendeleo hayana vyama.
=====
LISSU: MAGUFULI ALIINGIA KWA KURA, ATAONDOKA KWA KURA
Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema ifikapo siku ya kupiga kura Oktoba 28, wananchi wote wakapige kura kufuta kilio na machozi ya miaka mitano
Akizungumza na wananchi katika kampeni zilizofanyika Hai Mkoani Kilimanjaro Lissu amewataka wananchi kuchagua viongozi watakaoleta haki kwakuwa Tanzania inahitaji haki
Ameongeza kuwa, maandiko matakatifu yanasema Haki huinua taifa na sio pesa wala barabara. Amewataka wananchi kupiga ili kupata haki na kuondokana na miaka ya njaa
Kipenzi cha Watanzania Dkt. Magufuli akiwa na komredi Polepole wao wanaanzia Bagamoyo mkoani Pwani wakielekea Korogwe Tanga.
Habari ndio hiyo, kumeshakucha!
Maendeleo hayana vyama.
=====
LISSU: MAGUFULI ALIINGIA KWA KURA, ATAONDOKA KWA KURA
Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema ifikapo siku ya kupiga kura Oktoba 28, wananchi wote wakapige kura kufuta kilio na machozi ya miaka mitano
Akizungumza na wananchi katika kampeni zilizofanyika Hai Mkoani Kilimanjaro Lissu amewataka wananchi kuchagua viongozi watakaoleta haki kwakuwa Tanzania inahitaji haki
Ameongeza kuwa, maandiko matakatifu yanasema Haki huinua taifa na sio pesa wala barabara. Amewataka wananchi kupiga ili kupata haki na kuondokana na miaka ya njaa