Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula, Mbowe na Maalim Seif jukwaa moja wilayani Hai leo

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula, Mbowe na Maalim Seif jukwaa moja wilayani Hai leo

Nasikia bwana Sabaya amejiandaaa kwa vulugu leo hai kitanuka. #Sasabasi2020 #Tundulissu #maendeleo ya watu na huru
HAWEZI KUFANYA CHOCHOTE LEO, ALIKUA ANAACHWA ACHWA TU KIPINDI KILE NAMBA MOJA ALIZUIA SIASA.
 
Hawezi kuwa Rais.. wananchi hatutaki wanaolalamika na kukimbilia mawakili wa ulaya badala ya kuwa mzalendo na kuwapa kazi wa hapa nchini.

Waambie wamalize salama utalii.. naona maneno mengi.. wanajipeleka kuvunja kanuni.. msilie waambueni wapunguze udaku

Nasambaza lavu kwako 💚💛💚💛💚😃
Tukimpa kazi fatma karume mnabana sasa wafanyeje?
 
Ujue kuna anagombea wachungaji Gwajima na Msigwa. Mufti wa DSM naye juzi alisema kitu eti. Nikajiuliza hii ni sawa?. Chadema wakajibu mapipo baadaye wakamleta Linda. Jino kwa Jina.

Chama changu CCM sijui mnakwama wapi? Kila Konde linapanguliwa kwa KO.
Binafsi siungi mkono kiongozi yoyote wa dini kupanda jukwaani wakati hajajitambulisha kuwa ni mwanasiasa
 
Lala salama ya uchaguzi zikiwa zimebaki siku 8 ( one digit) inaanza leo ambapo Tundu Lissu atakuwa Hai mkoani Kilimanjaro akiwa na Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula na mgombea urais wa Zanzibar maalim Seif.

Kipenzi cha Watanzania Dkt. Magufuli akiwa na komredi Polepole wao wanaanzia Bagamoyo mkoani Pwani wakielekea Korogwe Tanga.

Habari ndio hiyo, kumeshakucha!

Maendeleo hayana vyama.
Magu ni adui namba 1 wa watanzania, apigwe.
 
Hiyo combination huko Hai ni sawa na kumpiga nyoka kichwani, lazima afe.
Ndiyo maana wanataafutana na kutoa matamko lukuki,wameshikwa pabaya tunaona nyeti....Upepo unavuma kwa kasi kubwa hili ni gharika,Ni Yeye 2020 TAL.
 
Iwe sisiemu,chadema au chochote kinachofanya upuuzi wa kutumia viongozi wa dini na wafuasi kushangilia kama mazuzu.....ni ujinga mtupu
Wewe upo chama gani?
Je hujui ANC kule sauzi ilikua inamtumia Askofu Desmond Tutu?
Je hujui Mwalimu alikua anatumia kina Shekh Takadiri katika kudai uhuru?
 
Wewe upo chama gani?
Je hujui ANC kule sauzi ilikua inamtumia Askofu Desmond Tutu?
Je hujui Mwalimu alikua anatumia kina Shekh Takadiri katika kudai uhuru?
Acha kufananisha ujinga unaofanyika nchini saizi na walichofanya wale wakombozi wa Africa.

Mavyama yote takataka tu,hakuna mwanasiasa anayepambania maslahi ya wananchi, wote wanapambania maslahi yao tu
 
Combi ya Lissu Ponda na Mbowe yamfanya Ole sabaya aingie mitini na kuufyata kama mbwa koko

Interahamwe wake nao wasambaratishwa
 
Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.

Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
CCM wangejiuliza kwanza kabla ya kuanza kuwaingiza Akina Kwakatare (RIP) na Akina Askofu Gwajima.

Kama Gwajima anapanda jukwaani kwa nini Ponda asipande.
 
CCM wangejiuliza kwanza kabla ya kuanza kuwaingiza Akina Kwakatare (RIP) na Akina Askofu Gwajima.

Kama Gwajima anapanda jukwaani kwa nini Ponda asipande.
Sina tatizo na wale waliojitokeza na kudeclare kuwa wao watafanya siasa......ila kinachonikera ni wale wanatumika wakati hawajatwambia kuwa wameamua kufanya hivyo......
 
Back
Top Bottom