Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Bila kuchochea hakuna mabadiliko chanya! Bila kuchochea moto chakula kinaivaje?Maneno yoyote ya uchochezi hayatavumiliwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kuchochea hakuna mabadiliko chanya! Bila kuchochea moto chakula kinaivaje?Maneno yoyote ya uchochezi hayatavumiliwa!
HAWEZI KUFANYA CHOCHOTE LEO, ALIKUA ANAACHWA ACHWA TU KIPINDI KILE NAMBA MOJA ALIZUIA SIASA.Nasikia bwana Sabaya amejiandaaa kwa vulugu leo hai kitanuka. #Sasabasi2020 #Tundulissu #maendeleo ya watu na huru
Hizi ni mmoja wapo ya bao zilizozalisha upupu.....kuna mtu amemtetea mtu hapa?Mashekh wanafiki wa BAKWATA waliokua wanampigia kampeni jiwe mlikuakimya Leo tulieni dawa iingie
Tukimpa kazi fatma karume mnabana sasa wafanyeje?Hawezi kuwa Rais.. wananchi hatutaki wanaolalamika na kukimbilia mawakili wa ulaya badala ya kuwa mzalendo na kuwapa kazi wa hapa nchini.
Waambie wamalize salama utalii.. naona maneno mengi.. wanajipeleka kuvunja kanuni.. msilie waambueni wapunguze udaku
Nasambaza lavu kwako 💚💛💚💛💚😃
Binafsi siungi mkono kiongozi yoyote wa dini kupanda jukwaani wakati hajajitambulisha kuwa ni mwanasiasaUjue kuna anagombea wachungaji Gwajima na Msigwa. Mufti wa DSM naye juzi alisema kitu eti. Nikajiuliza hii ni sawa?. Chadema wakajibu mapipo baadaye wakamleta Linda. Jino kwa Jina.
Chama changu CCM sijui mnakwama wapi? Kila Konde linapanguliwa kwa KO.
Magu ni adui namba 1 wa watanzania, apigwe.Lala salama ya uchaguzi zikiwa zimebaki siku 8 ( one digit) inaanza leo ambapo Tundu Lissu atakuwa Hai mkoani Kilimanjaro akiwa na Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula na mgombea urais wa Zanzibar maalim Seif.
Kipenzi cha Watanzania Dkt. Magufuli akiwa na komredi Polepole wao wanaanzia Bagamoyo mkoani Pwani wakielekea Korogwe Tanga.
Habari ndio hiyo, kumeshakucha!
Maendeleo hayana vyama.
Judge for yourselfHizi ni mmoja wapo ya bao zilizozalisha upupu.....kuna mtu amemtetea mtu hapa?
Inawezekana kusoma na kuelewa kwako ni ngumu au hayo mavyama mnayoshabikia ndiyo yanakuvuruga........Judge for yourself
Camera does not lie 🤥
LOL.....Inawezekana kusoma na kuelewa kwako ni ngumu au hayo mavyama mnayoshabikia ndiyo yanakuvuruga........
Haya endeleeni kushangilia huo ujinga wa mavyama yenu kuwatumia viongozi wa diniLOL.....
Ndiyo maana wanataafutana na kutoa matamko lukuki,wameshikwa pabaya tunaona nyeti....Upepo unavuma kwa kasi kubwa hili ni gharika,Ni Yeye 2020 TAL.Hiyo combination huko Hai ni sawa na kumpiga nyoka kichwani, lazima afe.
Vyama gani hivyo?Haya endeleeni kushangilia huo ujinga wa mavyama yenu kuwatumia viongozi wa dini
Iwe sisiemu,chadema au chochote kinachofanya upuuzi wa kutumia viongozi wa dini na wafuasi kushangilia kama mazuzu.....ni ujinga mtupuVyama gani hivyo?
You mean CCM?
Wewe upo chama gani?Iwe sisiemu,chadema au chochote kinachofanya upuuzi wa kutumia viongozi wa dini na wafuasi kushangilia kama mazuzu.....ni ujinga mtupu
Acha kufananisha ujinga unaofanyika nchini saizi na walichofanya wale wakombozi wa Africa.Wewe upo chama gani?
Je hujui ANC kule sauzi ilikua inamtumia Askofu Desmond Tutu?
Je hujui Mwalimu alikua anatumia kina Shekh Takadiri katika kudai uhuru?
CCM wangejiuliza kwanza kabla ya kuanza kuwaingiza Akina Kwakatare (RIP) na Akina Askofu Gwajima.Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.
Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
Sina tatizo na wale waliojitokeza na kudeclare kuwa wao watafanya siasa......ila kinachonikera ni wale wanatumika wakati hawajatwambia kuwa wameamua kufanya hivyo......CCM wangejiuliza kwanza kabla ya kuanza kuwaingiza Akina Kwakatare (RIP) na Akina Askofu Gwajima.
Kama Gwajima anapanda jukwaani kwa nini Ponda asipande.
Kaomba apande jukwaa la Chadema, kachoka kuongea na watoto wa primary wanaojazwa kwenye mikutano yake.Thread yake ikoje maana ipo. YouTube tutaangalia viewers na comments.