Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula, Mbowe na Maalim Seif jukwaa moja wilayani Hai leo

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula, Mbowe na Maalim Seif jukwaa moja wilayani Hai leo

Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.

Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
 
Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.

Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
Walifikiri ni sifa, kuna Wachungaji waliitana Dodoma wakaeleza msimamo wao kuunga mkoni Giza ambayo ni CCm, Bakwata si mara moja wamefanya waliofanya Wachungaji ! Hili la Lissu ni akili kubwa Yule Mahera hawezi kuinua domo lake asilani.
 
Hawezi kuwa Rais.. wananchi hatutaki wanaolalamika na kukimbilia mawakili wa ulaya badala ya kuwa mzalendo na kuwapa kazi wa hapa nchini.

Waambie wamalize salama utalii.. naona maneno mengi.. wanajipeleka kuvunja kanuni.. msilie waambueni wapunguze udaku

Nasambaza lavu kwako [emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji2]
mimi pia nasambaza maupendo kama yote..tena hio tarehe 28 tukitoka mimi na wewe kumpigia kura Rais Lissu tutapita mahali tukajipongeze kwa bia na nyama
 
Anarudi huku alipopita Mara ya kwanza? Kama ilikuwa hivi sijui hiyo gharika itakuaje.?
Screenshot_20200929-212220_1601403803779.jpg
 
Kwani CCM bado ipo ? siwasikii wananchi hata kuitaja,yaani wau huwasikii kabisa kuizungumza,wanasema kwanza ukiitaja tu basi siku yako nzima inavurugika,jinsi haka kachama kalivyolaanika.

Bwana Mungu aliona haina haja ya kutuletea Corona ,Gonjwa liitwalo CCM peke yake litatosha kupambana nalo hadi tarehe 28 tunaenda kuliangamiza.
Yaani Bwana Mungu ana busara zisizo na mfano wake kama corona ingekuwepo ,tusingeweza kuiondoa CCM ,leo Alhamdulillah kila dalili zinaonyesha CCM inatokomezwa.
Hayo ni maneno ya MFA MAJI, haachi kutapatapa na yuko tayari hata KUFA NA MTU! Jamani kaeni chonjo msije mkafiwa na watu humu JF!
Nasikia bwana Sabaya amejiandaaa kwa vulugu leo hai kitanuka. #Sasabasi2020 #Tundulissu #maendeleo ya watu na huru
Yaaah wakienda kwa shari, sheria lazima ichukue mkondo wake bila KUPEPESA MACHO!
 
mimi pia nasambaza maupendo kama yote..tena hio tarehe 28 tukitoka mimi na wewe kumpigia kura Rais Lissu tutapita mahali tukajipongeze kwa bia na nyama

💛💚💛💚💛💚💛💚💯
 
Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.

Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
Nilivyoanza kuona kila jukwaa eti mtu mmoja anaombea mikutano kwa salaam za dini zote;
Bwana asifiwe
Mwanakondoo ameshinda,
Asalaam Aleikhum
Nikajua tayari mambo yanaelekea kuzimu.
 
Ponda anaungana na Chadema anazidi kujishusha hadhi yake ya ushekhe,kamfata Sheikh Katimba mpiga hela za Chadema wa milele.
 
Lala salama ya uchaguzi zikiwa zimebaki siku 8 ( one digit) inaanza leo ambapo Tundu Lissu atakuwa Hai mkoani Kilimanjaro akiwa na Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula na mgombea urais wa Zanzibar maalim Seif.

Kipenzi cha watanzania Dkt. Magufuli akiwa na komredi Polepole wao wanaanzia Bagamoyo mkoani Pwani wakielekea Korogwe Tanga.

Habari ndio hiyo, kumeshakucha!

Maendeleo hayana vyama.
Patachimbika, nahisi mgombea wetu atalazwa leo na hivo afya yake ya mgogoro, sio kwa combination hiyo
 
Ushindi kwa JPM upo pale pale ni vyema hizi salamu ziwafikie hapo Hai.

Oktoba 28th tujitokeze kwa wingi tukampe kura za ndio JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom