Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.
Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana