Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nimekuelewa bwashee 100%Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.
Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
Walifikiri ni sifa, kuna Wachungaji waliitana Dodoma wakaeleza msimamo wao kuunga mkoni Giza ambayo ni CCm, Bakwata si mara moja wamefanya waliofanya Wachungaji ! Hili la Lissu ni akili kubwa Yule Mahera hawezi kuinua domo lake asilani.Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.
Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
mimi pia nasambaza maupendo kama yote..tena hio tarehe 28 tukitoka mimi na wewe kumpigia kura Rais Lissu tutapita mahali tukajipongeze kwa bia na nyamaHawezi kuwa Rais.. wananchi hatutaki wanaolalamika na kukimbilia mawakili wa ulaya badala ya kuwa mzalendo na kuwapa kazi wa hapa nchini.
Waambie wamalize salama utalii.. naona maneno mengi.. wanajipeleka kuvunja kanuni.. msilie waambueni wapunguze udaku
Nasambaza lavu kwako [emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji2]
Hayo ni maneno ya MFA MAJI, haachi kutapatapa na yuko tayari hata KUFA NA MTU! Jamani kaeni chonjo msije mkafiwa na watu humu JF!Kwani CCM bado ipo ? siwasikii wananchi hata kuitaja,yaani wau huwasikii kabisa kuizungumza,wanasema kwanza ukiitaja tu basi siku yako nzima inavurugika,jinsi haka kachama kalivyolaanika.
Bwana Mungu aliona haina haja ya kutuletea Corona ,Gonjwa liitwalo CCM peke yake litatosha kupambana nalo hadi tarehe 28 tunaenda kuliangamiza.
Yaani Bwana Mungu ana busara zisizo na mfano wake kama corona ingekuwepo ,tusingeweza kuiondoa CCM ,leo Alhamdulillah kila dalili zinaonyesha CCM inatokomezwa.
Yaaah wakienda kwa shari, sheria lazima ichukue mkondo wake bila KUPEPESA MACHO!Nasikia bwana Sabaya amejiandaaa kwa vulugu leo hai kitanuka. #Sasabasi2020 #Tundulissu #maendeleo ya watu na huru
mimi pia nasambaza maupendo kama yote..tena hio tarehe 28 tukitoka mimi na wewe kumpigia kura Rais Lissu tutapita mahali tukajipongeze kwa bia na nyama
Nilivyoanza kuona kila jukwaa eti mtu mmoja anaombea mikutano kwa salaam za dini zote;Binafsi hawa viongozi wa dini wanaopanda majukwaani iwe chadema au sisiemu nikukosa weledi wa viapo vyao.
Huu ujinga na upumbavu utatuharibia nchi na kuanza kubaguana
Labda itazidi ya 2015 ya mgombea wao wakati ule! Tusubiri tuone!Anarudi huku alipopita Mara ya kwanza? Kama ilikuwa hivi sijui hiyo gharika itakuaje.?View attachment 1604803
Tayari, zaidi ya miaka 50,tunajamba tu sasa Mungu kaamua mjambe ninyi kwa sababu wote ametuwekea vijambio.Wewe umeshajamba?!
Patachimbika, nahisi mgombea wetu atalazwa leo na hivo afya yake ya mgogoro, sio kwa combination hiyoLala salama ya uchaguzi zikiwa zimebaki siku 8 ( one digit) inaanza leo ambapo Tundu Lissu atakuwa Hai mkoani Kilimanjaro akiwa na Sheikh Ponda, Askofu Mwamakula na mgombea urais wa Zanzibar maalim Seif.
Kipenzi cha watanzania Dkt. Magufuli akiwa na komredi Polepole wao wanaanzia Bagamoyo mkoani Pwani wakielekea Korogwe Tanga.
Habari ndio hiyo, kumeshakucha!
Maendeleo hayana vyama.
Na mimi pia nasambaza MAUPENDO KAMA YOTE! Tutoke wote tumpigie kura Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ili tuendeleza AMANI yetu na UPENDO WETU na maendeleo kwa wote.πππππππππ―
Wakati ni ukuta, 2015 siyo 2020!Labda itazidi ya 2015 ya mgombea wao wakati ule! Tusubiri tuone!
tulia sindano ikuingie Comrade John.Maneno yoyote ya uchochezi hayatavumiliwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo combination huko Hai ni sawa na kumpiga nyoka kichwani, lazima afe.