Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
Maadili ya kazi yanakataza kuongea ukweli ?
 
Unafikiri hao watumishi wana roho mbaya kama yako? Kwa taarifa yako, hata ndani ya CCM na serikalini, kuna watu wengi sana hawakufurahishwa na huu unyama. Anapewa taarifa za ndani na watu wa ndani kabisa. Na siyo rahisi kujua ni nani hao. Na siku zinavyozidi kwenda ndivyo informers wake wanavyozidi kuongezeka. He is well informed na ana reserve some information ili informers wake wasijulikane. Hizo anazozitoa ni dondoo tu. Soon we gonna speak the same language.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaha ndio mnajiaminisha?
 
Mjomba hoja nyepesi kama sufi ya tabora! Kwenda dodoma mara ngapi siyo ishu, mhusika mjuruhiwa mkuu anatoa shutuma kuwa anahisi fulani na fulani walihusika na yaliyomsibu, na siku ya hayo majanga huyu mtu anahisi alikuwa sehemu ya tukio. Ustaarabu ilikuwa makonda ahojiwe ili wamu eliminate kama suspect. Kwa maisha ya kawaida huko mitaani kwetu, ukienda kutoa ripoti polisi kuwa unahisi fulani amajaribu kukuua polisi lazima wafunge safari na huyo mtu lazima aitwe kituoni kutoa maelezo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuhojiwa kisa tuhuma zimetolewa Kwa njia zisizo rasmi?
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa manufaa ya wengi acha siri zivuje tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv anahangaika nini kwani, anatafuta nini, kuna kitu gani amewah yeye kukifanya hapa Tanzania, hata huko Singida anapotoka amefanya nini......kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kutoa chochote tu kilichopo kinywan nayo ni shida.....Lissu utakaa kuongea sana coz hata Tanzania sasa unaiogopa.....mbona wenzio wapo kimya na siasa zinaenda na maisha pia.....WEWE NI NANI HASA HAPA TANZANIA MPAKA UONGEE SANA....hata kama mm pia ningekuwa namba moja Siwez kukuacha mbona......huko penyewe unaposemea wanauelewa mchezo vizur sana...na ndo wababe wa hyo michezo...wanakuona kama mwendawazimu......unaendelea kujichimbia shimo Tanzania.....rudi tu sisi macho yetu....lisu lisu ......utakufa siku sio zako endelea...
Sima, kuongea saana ni haki ya kila mtu..
Hata wewe hapa jukwaani umeongea saaaana hiyo haki umeitoa wapi?.
Unategemea tukusikilize kwa wajibu upi??
 
Unless atuambie kamuona eneo la tukio hii itakua porojo tu..
 
Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?

Mkuu kama kele zake, umezisikia ni manikio tosha, hata sis wananchi tumefurahi sana alivyotufungua masikio kusu watu wanaowezekana walihusika kumshambulia. Tulitegemea serekali na vyombo vyake vitujuze lakini mapaka leo wapo kimyaa.
 
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.

Mkuu your black magic prediction appears to be all wrong, which in fact is not a prediction but a wishful thinking among you ccm zealots. On the contrary among sisi wananchi he is climbing higher and higher in our souls. God bless Tundu Lisu, God bless Tanzania.
 
Kwamba Makonda alikuwapo Dodoma na rais wa nchi alisema hayo maneno siku yeye anapigwa risasi?
Upuuzi wa hali ya juu.

Mkuu bashite, tayari ushapata kiwewe, hayo ni manyunyu tu, subiri mvua ya radi, mtatafuta pakushika na kukanyaga msipaone.
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.

Hakuna uhusiano wa Makonda kuwa Dodoma na wewe kupigwa risasi!
Makonda anaweza kuwa Dodoma kwa mambo yake binafsi
Lakini nimefurahi umejitambua kuwa wewe ni msaliti!
Mbona uhoji Mbowe kutokuwa Ikulu siku ya ripoti ya makinikia wakati alikuwa na mwaliko?
 
Hiv anahangaika nini kwani, anatafuta nini, kuna kitu gani amewah yeye kukifanya hapa Tanzania, hata huko Singida anapotoka amefanya nini......kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kutoa chochote tu kilichopo kinywan nayo ni shida.....Lissu utakaa kuongea sana coz hata Tanzania sasa unaiogopa.....mbona wenzio wapo kimya na siasa zinaenda na maisha pia.....WEWE NI NANI HASA HAPA TANZANIA MPAKA UONGEE SANA....hata kama mm pia ningekuwa namba moja Siwez kukuacha mbona......huko penyewe unaposemea wanauelewa mchezo vizur sana...na ndo wababe wa hyo michezo...wanakuona kama mwendawazimu......unaendelea kujichimbia shimo Tanzania.....rudi tu sisi macho yetu....lisu lisu ......utakufa siku sio zako endelea...
Muuwaji mwingine Huyu
 
Usione watu wazima wanalia makanisani ukaamini wanalia kwa sababu wamebadili majina na hawana vyeti vya elimu tu,wanalia kwa mengi yakiwemo mabaya wanayopanga na kutekeleza dhidi ya wenzao.Lakini siku zote ubaya hauwezi kuushinda wema,watajulikana tu
 
Usione watu wazima wanalia makanisani ukaamini wanalia kwa sababu wamebadili majina na hawana vyeti vya elimu tu,wanalia kwa mengi yakiwemo mabaya wanayopanga na kutekeleza dhidi ya wenzao.Lakini siku zote ubaya hauwezi kuushinda wema,watajulikana tu
 
Back
Top Bottom