Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sasa moyoni mwangu namtukuza Mungu kwa kumuokoa Tundu Lisu zidi ya kifo na kaburi!
Mungu amekataa kabisa Tundu Lisu kufa!
Ni Mungu pekee!
Mungu unatisha wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakunaga Siri duniani!
Na Siri walau yaweza kuwa ya mtu mmoja kitu ambacho ni kigumu sana, na siri ikishazidi watu wawili na kuendelea ujue basi hakuna siri tena hapo!
Ni swala la muda tu ukifika kila kitu kinakuwa hadharani!
Matendo ya Mungu yanatisha kama nini [emoji123][emoji123][emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Mkuu endelea na ujasiri huo ila hakuna kitu kitakuja kunitoka akilini kama mauaji ya Kamanda MawazoMkuu ni kweli taarifa zao ninazo mapema kwa Bahati nzuri huyo misri wa Maliyamungu Bashite yaani Le mutuz ni mtu wa kupenda michepuko tulimpenyezea michepuko kazaa ikawa inampelekeza na kumsikiliza kwa umakini pindi apoongea tukapata taarifa nyingi sana pasipo wao kujua na pia taarifa zingine zilivuja kupitia jerry muro na cyprian Musiba ambao pia ni wadhaifu huku taarifa za Bashite mwenyewe zikivuja kwa njia za kisayansi zaidi pamoja na wapambe wake kujisahau wakaropoka, nikitulia nitakupa mipango yao mpiya wanayopanga kwa kushirikiana na Mwenyekiti wa TFF utashangaa kama siyo kuzimia
Wee jamaa kwa ID nyingine si ndo unajiita.. "ushuzi" ? sio kila mtu anaangukia kwenye mtazamo wako ndugu. Upo Marekani endelea na maisha yako ya huko USA.Washambuliaji walipofika Dodoma kwa mujibu wa Le mutuz walimwambia Bashite kuwa waache kwa kuwa hapajakaa vizuri lakini Bashite akagoma na kutoa Amri shambulio lifanyike, ndipo wakashambulia kwa pupa papara pasipo mbinu za mashambulizi kutumika kwa maana ingine mtoa Amri hana uzoefu yeye alitumia chuki binafsi kutekeleza shambulio siyo ujuzi wa kijeshi
Wenye mke ndiyo waling’oa cctv camera? Wenye mali ndiyo waliwatoa walinzi Getini? Wenye mali ndiyo walipiga marufuku kuvaa T-shirt za Tundu Lisu? Acheni kuvuta Bangi hapo Gheto kwa cyprian MusibaLissu sema ukweli wako kijana, ulikuwa unatembea na mke wa mtu na ukawa unawindwa na mwenye mali
Wee jamaa kwa ID nyingine si ndo unajiita.. "ushuzi" ? sio kila mtu anaangukia kwenye mtazamo wako ndugu. Upo Marekani endelea na maisha yako ya huko USA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu endelea na ujasiri huo ila hakuna kitu kitakuja kunitoka akilini kama mauaji ya Kamanda Mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe alisema waje wachunguzi neutral from a well recognized deep profiled firm kuchunguza ni nani mhusika, serikali ikakacha.
Mie siko huko mkuu nina familia mbiliNi vyema huko Tanzania nyumbani muanze kuukataa huo udikteta mapema kabla haujakuwa sugu zaidi na kuota mizizi zaidi
FBI waliopo ubalozi wa Marekani huko Tanzania walichunguza kwa siri kimya kimya ndiyo waliobaini uhusika wa Bashite MaliyamunguMbowe alisema waje wachunguzi neutral from a well recognized deep profiled firm kuchunguza ni nani mhusika, serikali ikakacha.
Naweza kusadiki hayaWashambuliaji walipofika Dodoma kwa mujibu wa Le mutuz walimwambia Bashite kuwa waache kwa kuwa hapajakaa vizuri lakini Bashite akagoma na kutoa Amri shambulio lifanyike, ndipo wakashambulia kwa pupa papara pasipo mbinu za mashambulizi kutumika kwa maana ingine mtoa Amri hana uzoefu yeye alitumia chuki binafsi kutekeleza shambulio siyo ujuzi wa kijeshi
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Kisaikolojia Lissu hayupo sawa, zile risasi ni nyingi, lile tukio inaonyesha lilikuwa la kutisha sana.Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
unataka fact gani zaidi ya kuuliza kwann na nani aliondoa walinzi? kwanini cctv camera imeondolewa? kwanini hajalipiwa gharama za matibabu? kwanini watu wamepokwa mpaka ubalozi kwa kwenda kumuona? hujui maana ya fact kaa kimyaInasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Kaka usiongee kama bata uonekane unaongea tu. Kwani hufahamu kuwa kuna ushahidi wa Kimazingira na unamfunga mtu? Mazingira yenyewe tu yanatosha kujua nani alitaka kumuua. Mbona mnajifanya vipofu?Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.