Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Hata sasa moyoni mwangu namtukuza Mungu kwa kumuokoa Tundu Lisu zidi ya kifo na kaburi!
Mungu amekataa kabisa Tundu Lisu kufa!
Ni Mungu pekee!
Mungu unatisha wewe!




Sent using Jamii Forums mobile app

Tuendelee kumuombea sana kwa mungu amuepushe na shambulio la pili ambalo limeandaliwa na Mwenyekiti wa TFF na Bashite ambapo Mwenyekiti wa TFF kaenda nyumbani kwao Somalia kuwachukua Magaidi wa Alshabab wapo nyumbani kwake huko Dsm wanafanya Mazoezi na kuijua mitaa ya Dsm mazingira wakisubiria arejee tu waje kumteketeza ni vyema chadema waanze kuwa makini na Mwenyekiti wa TFF kwani ni mtu hatari kwa usitawi wa chadema kwa sasa.
 
Hakunaga Siri duniani!
Na Siri walau yaweza kuwa ya mtu mmoja kitu ambacho ni kigumu sana, na siri ikishazidi watu wawili na kuendelea ujue basi hakuna siri tena hapo!
Ni swala la muda tu ukifika kila kitu kinakuwa hadharani!

Matendo ya Mungu yanatisha kama nini [emoji123][emoji123][emoji123]


Sent using Jamii Forums mobile app

Mfano sasa siri za Mwenyekiti wa TFF dhidi ya kumshambulia Tundu Lisu zimevuja kupitia le mutuz na cyprian Musiba ni kweli hakuna siri isiyovuja
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.



Lissu sema ukweli wako kijana, ulikuwa unatembea na mke wa mtu na ukawa unawindwa na mwenye mali
 
kiongozi sio sisi, sisi ni watu wema wa Mungu baba wa mbingun, lakini Mtoto mkaidi hafaidi mpaka siku ya Idd, Tundu kama Bindamu anaishi na watu wanaompenda kama wewe na wanaomchukia ndani na nje ya familia lakini mkianza kupiga ramli ovyo ovyo ndipo naona mmekuwa wendawazimu kwani aliwazalo mjinga ndilo linalomtokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni kweli taarifa zao ninazo mapema kwa Bahati nzuri huyo misri wa Maliyamungu Bashite yaani Le mutuz ni mtu wa kupenda michepuko tulimpenyezea michepuko kazaa ikawa inampelekeza na kumsikiliza kwa umakini pindi apoongea tukapata taarifa nyingi sana pasipo wao kujua na pia taarifa zingine zilivuja kupitia jerry muro na cyprian Musiba ambao pia ni wadhaifu huku taarifa za Bashite mwenyewe zikivuja kwa njia za kisayansi zaidi pamoja na wapambe wake kujisahau wakaropoka, nikitulia nitakupa mipango yao mpiya wanayopanga kwa kushirikiana na Mwenyekiti wa TFF utashangaa kama siyo kuzimia
Mkuu endelea na ujasiri huo ila hakuna kitu kitakuja kunitoka akilini kama mauaji ya Kamanda Mawazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Washambuliaji walipofika Dodoma kwa mujibu wa Le mutuz walimwambia Bashite kuwa waache kwa kuwa hapajakaa vizuri lakini Bashite akagoma na kutoa Amri shambulio lifanyike, ndipo wakashambulia kwa pupa papara pasipo mbinu za mashambulizi kutumika kwa maana ingine mtoa Amri hana uzoefu yeye alitumia chuki binafsi kutekeleza shambulio siyo ujuzi wa kijeshi
Wee jamaa kwa ID nyingine si ndo unajiita.. "ushuzi" ? sio kila mtu anaangukia kwenye mtazamo wako ndugu. Upo Marekani endelea na maisha yako ya huko USA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee jamaa kwa ID nyingine si ndo unajiita.. "ushuzi" ? sio kila mtu anaangukia kwenye mtazamo wako ndugu. Upo Marekani endelea na maisha yako ya huko USA.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtizamo upi? Yaani Bashite kwenda huko Dodoma kumpiga Risasi Tundu Lisu ni mtizamo wangu? Mie sina ID ingine zaidi ya hii yangu na siipo Marekani nipo Canada karibuni sana huku uje tukupe siri nyingi ikiwemo mipango ya Mwenyekiti wa TFF
 
Mbowe alisema waje wachunguzi neutral from a well recognized deep profiled firm kuchunguza ni nani mhusika, serikali ikakacha.
FBI waliopo ubalozi wa Marekani huko Tanzania walichunguza kwa siri kimya kimya ndiyo waliobaini uhusika wa Bashite Maliyamungu
 
Washambuliaji walipofika Dodoma kwa mujibu wa Le mutuz walimwambia Bashite kuwa waache kwa kuwa hapajakaa vizuri lakini Bashite akagoma na kutoa Amri shambulio lifanyike, ndipo wakashambulia kwa pupa papara pasipo mbinu za mashambulizi kutumika kwa maana ingine mtoa Amri hana uzoefu yeye alitumia chuki binafsi kutekeleza shambulio siyo ujuzi wa kijeshi
Naweza kusadiki haya
Shambulio lilikua la hovyo sana

Hata wauwaji nadhani hawakupenda na isipokua walitekeleza amri

Tushukuru Mungu anaweza kukuepusha kwa namna nyingi hata ukipata jeraha

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.

Bashiru Ally yupo sahihi kabisa. Jamaa anadeka kama mtoto mdogo. Makonda kuwa Dodoma imekuwa nongwa!!.

Kuna watu wamekufa Kibiti na Rufiji bila ya hatia yoyote ile, ina maana Makonda nae alikuwa maeneo hayo wakati wanapigwa risasi!!.

Unalalamika hakuna aliyekujulia hali ukiwa Nairobi, umesahau kwamba makamu wa rais alikuja kukupa pole!!.

Wenye akili zenye kufanya kazi vizuri wanaweza kuchambua pumba ni zipi na mchele halisi ni upi.
 
Lissu unakosea,kama ni 'mission' sio lazima ai excute yeye Makonda mwenyewe,unless Makonda ni mafia na yeye..anashika bunduki...na sio 'masterminder'...
Kisaikolojia Lissu hayupo sawa, zile risasi ni nyingi, lile tukio inaonyesha lilikuwa la kutisha sana.
 
u
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
unataka fact gani zaidi ya kuuliza kwann na nani aliondoa walinzi? kwanini cctv camera imeondolewa? kwanini hajalipiwa gharama za matibabu? kwanini watu wamepokwa mpaka ubalozi kwa kwenda kumuona? hujui maana ya fact kaa kimya
 
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Kaka usiongee kama bata uonekane unaongea tu. Kwani hufahamu kuwa kuna ushahidi wa Kimazingira na unamfunga mtu? Mazingira yenyewe tu yanatosha kujua nani alitaka kumuua. Mbona mnajifanya vipofu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom