Lissu alikosea sana kuanzisha ugomvi na Zitto, ona sasa mwili mzima hauna zindiko auna hata chale moja. Matokeo yake ndio hayo.
Rais kasema mtu huyu yafaa kuuliwa makonda hayupo kwenye sherehe walinzi nyumbani kwako wameondolewa haustiku tu!
Sialipaswa kuchezwa na machale akalala mbele mapema tu, angeamua kulala bungeni nani angemtoa humo?
Haya atuambie kashambuliwa mbele ya nyumba yake hausegirl wake hata asipige mayowe kuita majirani? Baada ya kushambuliwa na majambazi kuondoka alitoka nje kuona kulikoni?
Nyumba za majirani zilikuwa na cctv ilikuwaje nyumba yake tu haikuwa na cctv? Hakuwa na fedha au hakuona umuhimu?
Rais kasema mtu huyu yafaa kuuliwa makonda hayupo kwenye sherehe walinzi nyumbani kwako wameondolewa haustiku tu!
Sialipaswa kuchezwa na machale akalala mbele mapema tu, angeamua kulala bungeni nani angemtoa humo?
Haya atuambie kashambuliwa mbele ya nyumba yake hausegirl wake hata asipige mayowe kuita majirani? Baada ya kushambuliwa na majambazi kuondoka alitoka nje kuona kulikoni?
Nyumba za majirani zilikuwa na cctv ilikuwaje nyumba yake tu haikuwa na cctv? Hakuwa na fedha au hakuona umuhimu?