Tundu Lissu: Suala la Bandari halihitaji kuamuliwa na Mahakama za Sheria bali Mahakama za Umma. Gesi yote, Dhahabu yote na sasa Bandari vimekwenda!

Anazunguka kwenye Barabara zilizojengwa Kwa kutumia mkojo wake Hadi aseme vimekwenda?
 
Mbona wewe umejificha huku jf hujaenda kulipa hiyo gharama? Unataka nani akulipie? Mtaishia kulalamika hivyo hivyo 😁😁
 
Makaburi yao yatafukuliwa na kuchomwa moto! Waache washupaze shingo kuuza mali ya umma! Hata hao wanaojidai wananunua mali za umma wa watanganyika kwa rushwa yatawapata kama makabaila wa
Zimbabwe! Tutazitaka kwa nguvu mali za umma!
Ni baada ya kuangukia pua πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi mkuu wa majeshi hayaoni ya Niger?

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu yupi? huyu wakwetu mwenye kisura cha kike? hahaaaaa mtashangaa sana CDF mzuri kuliko hata Rais anapata wapi Guts na akili ya kuona mbali kwa mustakabali wa vizazi vijavyo wakiwemo na wajukuu zake mwenyewe? kuteuliwa ni utumwa siku zote, Niger ni miamba wameamua kula sahani moja na wakoloni, ndio maana wagner wanatoa suport.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ I wish cdf aione hii comment ili utafutwe na ufinywe kimya kimya
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ I wish cdf aione hii comment ili utafutwe na ufinywe kimya kimya
Huyo Rais wa Zimbabwe ataishi milele?

Mithali 27:22

Mpumbavu ukimtia kwenye kinu pamoja na ngano ukamtwanga kwa mchi Upumbavu wake hautamtoka πŸ˜„πŸ˜„πŸ”₯
 
Kuumbuka kwa hukumu inayotolewa na mahakama za Tanzania?!
watu ni wajinga mno mkuu na wanajisahaulisha namna tunavyotia aibu huko duniani i wish angeona ile clip ya yule profesa wetu wa makinikia alivyotia aibu kule nje ya nchi, we are not all stupid kama wao.
 
Halafu huyu Lissu anajitambilisha kama Afisa wa Mahakama Kuu. Tukimuita mwehu, wengine wanalalamika.
 
Hii inanikumbusha kitabu cha The Godfather!! Haki dhidi ya serikali huwezi ipata mahakamani!!

Duniani kote hakuna uhuru uliopatikana mahakamani!!

Nilimshangaa mno Mwabukusi!
Alitumia uhuru wake wa kikatiba.
Kwa maoni yangu ya kisomi,Mahakama ilikuwa sahihi kwa kiasi kikubwa.Kesi ilikuwa kwamba mahakama inaombwa kuamua uvunjifu wa katiba.Lakini kilichobainika ni uvunjifu wa sheria na siyo katiba yenyewe.Ndiyo maana mahakama imetoa aina ya ushauri ambao huwa unaweza kutolewa na mahakama.Kisheria ushauri unaotolewa kama maoni tu ya mahakama unaitwa obiter dictum.
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndiyo njia iliyobaki pekee ya kuiokoa nchi isiuzwe kwa wajomba wao.maandamano yasiyo na kikomo ni muhimu sana kwa sasa.kipindi cha ukoloni watu tulidai uhuru kwa amani na pale njia ya amani iliposhindikana matumizi ya bunduki yaliwafanya wakubali matakwa ya wananchi waliojifanya kuziba masikio.Aluta continua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…