Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
HmmHili jambo wala halihitaji ushahidi, ni wazi kabisa, Hao wengine wanatumika tu
Kumbuka yule mbunge wa nkasi, wamemtoa bungeni kimkakati, angalia walioingia sasa, ni zaidi yake, unadhani kuna bahati mbaya hapo.
Hivi ni kwa nini walimchomoa?Hili jambo wala halihitaji ushahidi,ni wazi kabisa, Hao wengine wanatumika tu.
Kumbuka yule mbunge wa nkasi,wamemtoa bungeni kimkakati, angalia walioingia sasa, ni zaidi yake,unadhani kuna bahati mbaya hapo
We jamaa bhanaIsarael mtoa roho ataliponya taifa. Acha aendelee kuweka tamaa mbele lkn akumbuke Israel mtoa roho hajalala.
Kuhadaa tu umma,mkulu hataki agenda yake ile na supika,ila ona vijana walioingia sasa,x10Hivi ni kwa nini walimchomoa?
No walewalePolepole alishafunga mjadala wa hili jambo!