Tundu Lissu: Suala la kuongeza muda wa Rais ni ajenda ya Rais Magufuli

Tundu Lissu: Suala la kuongeza muda wa Rais ni ajenda ya Rais Magufuli

Sisi watz tulio wengi tunataka aemdelee mpaka atakapochoka mwenyewe! Mjiandaa kisaikorojia.
 
True. Maswala ya kingereza chake kila siku anatolea ufafanuzi ila hili kalikslia kimya kawaachia akina Polepole. No wonder Bashiru katolewa pale kiaina.
 
Kama Magufuli angekuwa hataki kuongeza muda, hakika hakuna mwanaCCM angepanua mdomo wake kulinena hilo. Kila mwenye akili anajua kuwa hili linasemwa semwa sana kwa sababu yeye anapenda iwe hivyo.
 
Ka Magufuli angekuwa hataki kuongeza muda, hakika hakuna mwanaCCM angepanua mdomo wake kulinena hilo. Kila mwenye akili anajua kuwa hili linasemwa semwa sana kwa sababu yeye anapenda iwe hivyo.
Mwache aongeze kwa nini una wasiwasi naye sana?
 
Watanzania walishampuuza Tundu hana jipya
 
Lissu na wapinzani waliishiwa sera muda mrefu toka uncle Magu akamate nchi.
Kinachotokea ni vitone vya kutapatapa vya hapa na pale ili angalau wasikike hata kwa kuongea pumba.

Waliishiwa hoja ama walikuwa wanapambana na kundi la watu wasiojulikana wa huyo magu?
 
Wewe unayempinga Lissu una ushahidi upi kwamba tuhuma hizo ni za uongo ? kwa taarifa yako njama zote zilizopangwa zimevuja
 
Kuondoshwa kwa Bashiru kutoka nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM na kupewa ukatibu mkuu kiongozi wa ikulu unaweza kutumika na kushadadisha mashabiki kuhusu suala hili. Msimamo wa Kakurwa siku zote ulikuwa kwamba hakuna kitu chochote kile kama cha kubalisha ukomo wa kuitumikia nafasi ya urais kwa mujibu wa katiba iliyopo.
 
Rais huyu yu hodari kuwaadhibu wale wanaofanya kinyume cha asiyoyataka. Ukiona kuna watu wanafanya mambo na hawaulizwi ujuwe ama anayapenda au kuna maelekezo yake!
 
True... Maswala ya Kingereza chake Kila Siku anatolea ufafanuzi ila hili kalikslia kimya kawaachia akina Polepole. No wonder Bashiru katolewa pale kiaina.
Ningependa sana aendelee ili nipate kuona mwisho wa Wananchi wa Jamhuri kuhusu huyu Mkulu. Shikilia hapo hapo, hakuna jasiri wala ujasiri naona kipindi cha utawala wake kuna jamii kashikilia ndeke zao hawapumui.
 
Hivi akijitokeza kweli, kama alivyo wahi kujitokeza na kusema hata endelea baada ya miaka yake 10, mtamtaka ajitokeze tena na tena na tena na tena! Mpaka lini?
Ajitokeze mara ngapi kueleza kukataa kuendelea kutawala ili mridhike?
 
Back
Top Bottom