Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni debe lililo jaa, jikite basi kwenye hoja, kwa kuwa wewe ni iron boy ngoja nikusaidie; hoja hapa ni KUONGEZA MUDA WA KUKAA MADARAKANI NI AGENDA YA MAGUFULI.Lisu ni debe tupu lile
Yaani unataka kuua mende kwa bunduki? Aisee.Mbona alishasema mara nyingi kwenye mikutano yake,
Alimwambia mzee mwinyi na mbunge msukuma.
Akasema hataongeza hata dakika?
Mi naona magufuti aendelee ili bwana lisu aendelee kukaa huko mpaka azeeke aje kama akina kambona.
La vyuma vimekaza halisikiki tena! Alilishukia kama mwewe ashukiavyo vifaranga. Hakulipenda. Katoa amri kabisa wakamatwe. Kimya! Hili sasa maandamano yanaratibiwa. Yana baraka zote za Muroto na Mambokesho. Matembezi ya hiari ya Mwamakula hata mimba yake kutungwa ni haramu. Ikizaliwa washirilki ni mkong'oto wa mbwa koko tena mwizi. Gesi letu la pulisi linajua mkulu kalalia wapi. Maria Sarungi kwao si mwanaharakati bali mchochezi. Lakini Musiba ni mwanaharakati tena huru!Kama Magufuli angekuwa hataki kuongeza muda, hakika hakuna mwanaCCM angepanua mdomo wake kulinena hilo. Kila mwenye akili anajua kuwa hili linasemwa semwa sana kwa sababu yeye anapenda iwe hivyo.
La ukomo wa urais akiliongelea JPM hata hewa inayomzunguka inakataa anachosema. Kwa kuwa hakuna ukweli hata chembe. Akilisemea Bashiru hata chekechea anajua anamaanisha hilo. Hakuna unafiki. Kama chekechea katambua, je, JPM si zaidi?Kuondoshwa kwa Bashiru kutoka nafasi ya ukatibu mkuu wa CCM na kupewa ukatibu mkuu kiongozi wa ikulu unaweza kutumika na kushadadisha mashabiki kuhusu suala hili. Msimamo wa Kakurwa siku zote ulikuwa kwamba hakuna kitu chochote kile kama cha kubalisha ukomo wa kuitumikia nafasi ya urais kwa mujibu wa katiba iliyopo.
Litakuwa limepitishwa kwenye chamaHili jambo wala halihitaji ushahidi,ni wazi kabisa,Hao wengine wanatumika tu,
Kumbuka yule mbunge wa nkasi,wamemtoa bungeni kimkakati,angalia walioingia sasa,ni zaidi yake,unadhani kuna bahati mbaya hapo
Hatari snWe jamaa bhana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna uzi 1 sijui ushapotezwa,anauliziwa mzee mbona hajaonekana church leo
Sasa sijui tuunge dot
Hata Mkuu akiongezea tena "grill" kwenye hili si vibaya.Polepole alishafunga mjadala wa hili jambo!
TBC? Hapana...MKUU Aspirin atamke mara ngapi.
Au huwa husikilizi TBC?
Kwanini wawe na uhurun wa kuongea kwenye kuongeza muda wa utawala, lakini wawe na hofu ya kuongea kwenye janga la Corona???Uhuru wa kuongea.