Izy_Name
JF-Expert Member
- Apr 9, 2020
- 772
- 1,733
Isarael mtoa roho ataliponya taifa. Acha aendelee kuweka tamaa mbele lkn akumbuke Israel mtoa roho hajalala.
kumbe wewe mwenzetu kazi ya israel haikuhusu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isarael mtoa roho ataliponya taifa. Acha aendelee kuweka tamaa mbele lkn akumbuke Israel mtoa roho hajalala.
Aibu yako mnaaUnajuaje kuwa ni mawazo yangu ambayo nimetumia mgongo wa Lissu kuyawasilisha?
Nilikuambia hivyo?
Wewe haumo kwani wewe ni Mtanzania? Hakuna Mtanzania mwenye jina la ushuzi.Sisi watanzania hatujakutuma utusemee
Ana hadhi gani ya kiuongozi huyo? Huyo si kapuku mlamba viatu vya mabeberu uchwara kama shoga yake bob amster.Natumai ana ushahidi na anachokisema. La sivyo, ni vibaya sana kwa kiongozi wa hadhi yake kuropoka tu maneno bila ushahidi.
Aisee!!Ana hadhi gani ya kiuongozi huyo? Huyo si kapuku mlamba viatu vya mabeberu uchwara kama shoga yake bob amster.
Nakushangaa na wewe Nyani unajaribu kumwinua na kumpa hadhi ya uongozi mtu ambaye ni lafa tu hana mbele wala nyuma!
Mzee huko Catholic ashalikoroga sasa anasoma gap huku kwa Askofu Shoo KKKTWe jamaa bhana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna uzi 1 sijui ushapotezwa,anauliziwa mzee mbona hajaonekana church leo
Sasa sijui tuunge dot
Haraka Haraka na Mrithi wa Mgosi wote ni bendera fwata upepoPolepole huyu huyu aliyesema hakuna haja ya kuwa na ma DC jana,halafu leo akapewa u DC na kuukubali!!!??
Sasa kama Lissu mpuuzi sijui wew tukuite dude ganiWa hadhi ipi? Kwani Lissu ana hadhi gani kwa nani? Mwacheni Lissu aliyejichokea aongee chochote kwani hana cha kupoteza. Ni mpuuzi tu
kama ni debe tupu mbona bwana wenu alikosa uvumilivu hadi kutaka kumuua?!.Lissu ni debe tupu lile
Hakuna povu hapo bwashee wala usiogope, hizo ni cheche za ukweli tu ndo zinakufanya uone kama kuna povuMbona povu jingi hivyo??
Hivi kuna watu wanaangali TBC?MKUU Aspirin atamke Mara ngapi.
Au huwa husikilizi TBC?