Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hawakomi kama ni kweli?MKUU Aspirin atamke mara ngapi.
Au huwa husikilizi TBC?
Enzi za m5 tena ibua hoja ww hapo.Hapo ndipo unaona upinzani tulio nao nchi hii ni wanamna hipi,wao sasahivi baada ya kuibua ajenda za maana maana wao wanaibuka na jambo kuongeza mda,yaani hata kwa akili ya kawaida Magufuri ajatumikia hata mwaka kwa muhula wake wa miaka 5,awaze kuongeza miaka mingine?lissu asubuli mpaka 2024 ndio aje na ngojera hizi sasahivi tunataka waibue hoja za kucharenge serikali kama enzi za dkt Slaa,aache mambo ya nadharia.
kama ni debe tupu mbona bwana wenu alikosa uvumilivu hadi kutaka kumuua?!.
Bashiru huyu bashiru?temea mate chini mkuu kama alikuwa na misimamo ni enzi akiwa cuf cyo ccm &cku hizi ni hamnazo kabisaHaya Pia ni mawazo yako Nyani Sema umetumia mgongo wa Lissu kuwasilisha hili swala.
Ila kwa taarifa yenu Magufuli hana mpango wa kuongeza hata nukta ila wale visabengo pessimists wa
sio na uhakika na utukufu after JPMs regime ndo wanamshawishi.Kwa kuthibitisha hilo JPM amemweka Bashiru kama right hand mtu ambae msimamo wake ni thabiti kuhusu rais kuongeza mda.
Mim nipo nkasi, yule bwana alijikaanga mwenyew na ccm makao makuu walimpendelea kwakurudisha jina lake licha ya kutokubalika kwake ila watu walimchoka kutokana na kauli zake..Hivi ni kwa nini walimchomoa?
Ukimya upi unaozungumzia? JPM binafsi yake ametamka hatoongeza muda.. mimi binafsi yangu nimemsikia akitamka mara 2. Chama chake kupitia KATIBU MKUU kimetoa tamko kwamba hataongeza muda.Bwana mkubwa sijui kwanini siku moja hajitokezi kuwakumbusha wanaopiga kelele za kumtaka aongeze muda wa utawala, kuwa yeye ni muumini wa katiba...