mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Watu kwa kuchokonoa hawajambo! Sijui hawana la kufanya!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe ulivyo mpuuziWa hadhi ipi? Kwani Lissu ana hadhi gani kwa nani? Mwacheni Lissu aliyejichokea aongee chochote kwani hana cha kupoteza. Ni mpuuzi tu
Bado upo usingiziniLissu alieko huko KU Leuven haimuhusu kujua mh raisi yupo wapi, yeye aulize Alexander De Croo yupo wapi na sio jpm
Hongera kwa kufanikisha ushindi wa CCM.Kuna wakati Kuna mambo yana kera Sana simpend Magufuli lakini kumtaka aonekane bila sababu ya msingi sisi tunapata nini....
sina kazi nashinda jfWewe utafanya ya kushindwa JF labuda.
The truth is: He is not credible even if he denies it openly.Bwana mkubwa sijui kwanini siku moja hajitokezi kuwakumbusha wanaopiga kelele za kumtaka aongeze muda wa utawala, kuwa yeye ni muumini wa katiba....
Bado upo usingizini
Aongeze tu amalizie miradi yake. Kwani kuna ubaya gani jamani. Mitano to zaidi? Nyie wapinzani acheni roho mbaya.Muda utasema. Muda ndiyo msemakweli. Tuache ubashiri
Mbona mbowe alibadili katiba na kuondoa ukomo wa mwenyekiti kugombea? Shida ipo wapi? Kama mbowe yupo madarakani miaka 20, Magufuli tutashindwa nini kumpa 15 yrs? Si kubadili katiba tu kama mbowe... Kumbe mkuki kwa binadamu...Wewe unayempinga Lissu una ushahidi upi kwamba tuhuma hizo ni za uongo ? kwa taarifa yako njama zote zilizopangwa zimevuja
LISSU anachofanya ni ubashiri wa kisiasa.
Kuna wakati Kuna mambo yana kera Sana simpend Magufuli lakini kumtaka aonekane bila sababu ya msingi sisi tunapata nn
Tufanye kazi akiumwa mwenzetu anatibiwa bure hospital kubwa wewe na mm hata kula yetu n shida
Tujadili vitu vya msingi s watu kila siku inakera Sana
UVIKO19. is real let's take care
We nawe ni boya.[emoji817] %
Yap.Haya Pia ni mawazo yako Nyani Sema umetumia mgongo wa Lissu kuwasilisha hili swala.
Ila kwa taarifa yenu Magufuli hana mpango wa kuongeza hata nukta ila wale visabengo pessimists wa
sio na uhakika na utukufu after JPMs regime ndo wanamshawishi.Kwa kuthibitisha hilo JPM amemweka Bashiru kama right hand mtu ambae msimamo wake ni thabiti kuhusu rais kuongeza mda.
Huyo Tundu anajifanya hasikii, ni wa kumwacha kama alivyo.Polepole alishafunga mjadala wa hili jambo!
Sijawahi ona zoba kama huyu jamaa.Huyo Tundu anajifanya hasikii.