johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yupo Ikulu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Tundu Lisu anakaribia kuwa mchawi!Raia wengi wa Tanzania wameanza kuhoji iwapo Rais John Magufuli ni buheri baada ya kutoonekana hadharani kwa wiki mbili sasa....
Yeye ni binadamu kuugua Corona ni sawaRaia wengi wa Tanzania wameanza kuhoji iwapo Rais John Magufuli ni buheri baada ya kutoonekana hadharani kwa wiki mbili sasa...
jifanyeni tu ndo wasemaje wake.. ikifika siku yenyewe msikimbie MUSEME MTAKAYOYAONA..shwainnnnnnnn 🐖 🐖 🐖 🐖Wapinzani mnammpenda sana JPM Sema Huwa hamuonyeshi hadharani.Najua mmemisi Sana ngoja atatoka KWA ajili ya Ziara Mtulie tu,vuteni subira.Yupo ikulu Anaendelea na Majukumu kama kawaida
ufanye kazi ya kushinda JF labudaJamani eeh tufanyeni kazi.
Si pi ta li ya ti siEmilio Mzena [emoji541]
Unatafuta kushika nyati sehemu za Siri?Raia wengi wa Tanzania wameanza kuhoji iwapo Rais John Magufuli ni buheri baada ya kutoonekana hadharani kwa wiki mbili sasa....
Wewe utafanya ya kushindwa JF labuda.ufanye kazi ya kushinda JF labuda
Nasikia huko Rwanda rais hajaonekana hadharani kwa karibu ya mwaka sasa.Raia wengi wa Tanzania wameanza kuhoji iwapo Rais John Magufuli ni buheri baada ya kutoonekana hadharani kwa wiki mbili sasa...