Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Nipo....By the way, Mgonjwa Mtambuka sikakuona kitambo mwana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo....By the way, Mgonjwa Mtambuka sikakuona kitambo mwana.
Poa mwana.Nipo.
Muda utafika na maovu yake.Muda utasema. Muda ndiyo msemakweli. Tuache ubashiri
Hili jambo wala halihitaji ushahidi,ni wazi kabisa,Hao wengine wanatumika tu.
Kumbuka yule mbunge wa nkasi,wamemtoa bungeni kimkakati, angalia walioingia sasa, ni zaidi yake, unadhani kuna bahati mbaya hapo.
🖕🖕We nawe ni boya.
Huyo ni Mwanasiasa unatarajia ataongeleaje sakata hili kama Mpinzani?
Acha uboya.
MtabiriIsarael mtoa roho ataliponya Taifa. Acha aendelee kuweka tamaa mbele lkn akumbuke Israel mtoa roho hajalala.
🖕Boya katika ubora wako!
A silly slave!
Hapana waendelee na huo mjadala hata huko kuzimu aongezewe muda wa adhabu.Hao WAPAMBE NUKSI tunaomba waendelee na huo mjadala kwa Rais ajaye pia, wasifanye ubaguzi.
Polepole alishafunga mjadala wa hili jambo!
Huwa una kawaida ya kuelewa contents au una comment tu kupata buku 7 yako???Lisu ni debe tupu lile
mhhhhIsarael mtoa roho ataliponya Taifa. Acha aendelee kuweka tamaa mbele lkn akumbuke Israel mtoa roho hajalala.
Watz mlio wengi na nani?Sisi watz tulio wengi tunataka aemdelee mpaka atakapochoka.
Bwana kidonge this is a nonessential. Watanzania wakitaka miaka my ni haki yao, wakitaka 10 ninhaki yao, wakitaka 50 sawa tu, hamna kuwazua. Tulianza na von Wissmann, katakana robot kernel kasorobo, akaja King George VI na Queen Elizabeth II, wakala miaka 50 kasorobo. Ndipo kaja Rais Julius, akalima awamu 5 kasorobo, then Mzee Rukhsa, 5, na sasa kaja Dr Pombe tunataka atawale milele, what is your problem? Lissu ana kura 1, ni haki yake kikatiba kuisemea, hata majuzi alipiga kura hazikutosha hivyo, poor fellow!Bwana mkubwa sijui kwanini siku moja hajitokezi kuwakumbusha wanaopiga kelele za kumtaka aongeze muda wa utawala, kuwa yeye ni muumini wa katiba.
Natamani siku moja awakanye wanaoleta hizi chokochoko. Awaambie waache hayo mawazo na wajikite kwenye ujenzi wa Taifa.... angezima hizi blaablaa kama alivyozima mikutano na shughuli za kisiasa.
Kama alivyowashupalia kwenye chokochoko za hofu ya Corona angewashupalia na hawa wanaomfanya aonekane ana tamaa ya madaraka.
Lakini kukaa kwake kimya inawezekana kuna maana yake. Maana kubwa kuliko tunavyodhani.
Muda hutoa jawabu la mambo mengi, tuombe uzima tuje tushuhudie siri ya ukimya wake.
Sio vibaya kama tuki muongeza miaka 100! By they way ikiwa sio kabila hilo litakuwa na bahati mbaya SanaBwana kidonge this is a nonessential. Watanzania wakitaka miaka my ni haki yao, wakitaka 10 ninhaki yao, wakitaka 50 sawa tu, hamna kuwazua. Tulianza na von Wissmann, katakana robot kernel kasorobo, akaja King George VI na Queen Elizabeth II, wakala miaka 50 kasorobo. Ndipo kaja Rais Julius, akalima awamu 5 kasorobo, then Mzee Rukhsa, 5, na sasa kaja Dr Pombe tunataka atawale milele, what is your problem? Lissu ana kura 1, ni haki yake kikatiba kuisemea, hata majuzi alipiga kura hazikutosha hivyo, poor fellow!